Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,170
- 4,582
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae