Kesho madereva watagoma tena nchi nzima

Kesho madereva watagoma tena nchi nzima

Status
Not open for further replies.
Naangalia kurasa (EATV)kiongozi wa wenye madaladala mkoa wa d'salaam amesema kesho hakuna mgomo wa daladala labda mabasi mengine
 
Wagome tu.

Nimechoka na ujuha wa viongozi na mwiananchi baadhi mijinga mijinga ya tz,
 
!serikali kwa sasa wamelala' wanasubiri mgomo uanze kesho, ndiyo waje kutoa tamko!
 
Hao madereva wapigwe tu hao madereva kwani hamna namna sasa , tumechoka ndiyo wapigwe tu hao madereva.
 
duh !, tumezoea kuwacheka wenye magari eti kwanini wamekimbilia kununua gari badala ya kujenga, wao kesho barabari nyeupeee
 
Hakuna gari ya abiria barabarani.

Watu nyomi vituoni wanatoa mimacho tu
 
Songea hakuna mgomo , nipo ndani ya superfeo tayari kwenda kufa njiani.
 
Mkajifunze pia customer care na sio kuweka gia tu. Akili za madereva uwa sizielewi kabisa, mfano anatoka kariakoo au ubungo anakuta wasafiri kibao stand anaweza asipakie au anaweza kusema hapakii anawacheka abiria kidogo then ndo anapakia, au analiweka gari pembeni kwanza watu wanapanda baadae anadai haendi ila wakikuta kituoni abiria wa kugombea wanapiga debe mpaka koo linakauka, madereva hasa wa daladala wana akili ndogo pamoja na makondakta wao.

Unachoongea ni kweli kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom