Kesho madereva watagoma tena nchi nzima

Kesho madereva watagoma tena nchi nzima

Status
Not open for further replies.
chadema wapo nyuma ya hii kitu mkutano mkuu wa chadema upo pacha na hii migomo

solution ni kuifuta cdm kwanye uso wa dunia

Achilia mbali kuahirishwa kwa kura ya maoni, hata kufutwa kwa mpango wa Matumla kwenda kucheza pambano la utangulizi kati ya Myweather na Paquiao kule Las Vagas ni mkakati wa CDM. Upo hapo? Waambie waifute tena haraka sana. Mxzzzz.....!
 
Kuna kiasi fulani cha ukweli ktk hii taarifa,nipo kwenye daladala naelekea tbt kimanga nimejaribu kumuuliza dereva amesema wanapeana hzo taarifa.TUZINGATIE NDG ZANGU
 
Ndugu mgomo huu ni wa madeleva na sio wamiliki wa mabasi, Mrutu anazungumza kwa niaba ya wamiliki.


Ahsante Mkuu...nilichanganya madesa...si unajua tena maisha zimu ya kijani limeyavuruga ndo maana hata matatzo yetu yanatuchanganya..!!
 
Gomeni tuu!! Maana ccm iliwaahidi maisha bora kwa kila mtanzania na aliyewaahidi anakaribia kuondoka nanyi kesho mbebe bango kama la walimu "UNATUACHAJE SHEMU"
 
Hio tarifa mbona lasmi walitangaza toka wiki ilioisha kiongozi wa chama cha madereva kuwa serikali aijashughulikia hata moja kati ya yale waliokubaliana kwenye ule mgomo wa kwanza. Kwa hiyo wamekubaliana wiki hii inayoanza jumatatu madereva wote walale nyumbani kama serkali itakuwa haijafanyia kazi mqkubaliano yao ya mwanz0!!
 
TeamMayweather holaaaaaa.

Kesho kutakuwa na mgomo wa madereva wote, pikipiki to magari makubwa,umoja umoja wa madereva umeeleza makubaliano walio anzimia na serikari ubungo siku ya mgomo wa kwanza yamepuuzwa.

Basi the daladala user's ni busara kuamka mapema, kwani mgomo uanza mara nyingi saa 12.

Pia serikari ni busara kaangalia namna ya kuzima malalamiko kila kona, mgongo huu unamdhara mengi sanaa kwa wananchi.

#TMT .
UP DATES

Habari iliyotufikia mdaa Huu nikua madereva wote wa usafirishaji wa abiria watakua kwenye mgomo wa kuchukua abiria kutokana na makubaliano yao na Serekali bila kushugulikiwa nakala ya barua hii hapa tutaendelea kuwapa updates zaidi
 

Attachments

  • IMG-20150503-WA0055.jpg
    IMG-20150503-WA0055.jpg
    103.1 KB · Views: 432
Wauaji wakubwa hao madereva itabidi na abiria tuwagomee maana wanatoa watu kafara! pumbavu zao
 
Wakuu nitafutien abiria watatu ubungo tu moshi kesho natoka saa 2 asbh
 
chadema wapo nyuma ya hii kitu mkutano mkuu wa chadema upo pacha na hii migomo

solution ni kuifuta cdm kwanye uso wa dunia

Ifutwe ili mi ccm mijizi ipate kupumua sababu cdm ndio kikwazo mi ccm mijizi,kwa taarifa yako cdm haiwezi futwa na itaendelea kuwabana had kieleweke
 
tunataka mikataba,na suala la kusoma kila baada ya miaka mitatu hatutaki ni wizi na unyonyaji'basi na madaktali wakasome pia kila baada miaka mitatu.na walimu nao wakasome kila ufaulu unapokuwa duni
 
tunataka mikataba,na suala la kusoma kila baada ya miaka mitatu hatutaki ni wizi na unyonyaji'basi na madaktali wakasome pia kila baada miaka mitatu.na walimu nao wakasome kila ufaulu unapokuwa duni


Na wezi wa escrow, Richmonduli, EPA, iptl nao wakasome wanapokamatwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom