frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Kesho kutakuwa na mgomo wa madereva wote, pikipiki to magari makubwa,umoja umoja wa madereva umeeleza makubaliano walio anzimia na serikari Ubungo siku ya mgomo wa kwanza yamepuuzwa.
Basi the daladala user's ni busara kuamka mapema, kwani mgomo huanza mara nyingi saa 12.
Pia serikari ni busara kaangalia namna ya kuzima malalamiko kila kona, mgomo huu una madhara mengi sana kwa wananchi.
#TMT .