900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,584
- 5,892
Magu ana ushujaa gani Africa labda chatoKesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.
Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.
Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.
Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.
View attachment 1739062