Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na Mtanzania kuliko Lissu?

Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.

Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.

PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Kama Magufuli angekuwa msomi, mwelewa na shujaa wa Afrika kama vilaza wa CCM wanavyomkweza, Masilingi angepoteza Ubalozi wake muda mfupi tu baada ya mahojiano yale na Lissu VOA maana aligaragazwa vibaya sana mpaka akatutia aibu sote pamoja na Magufuli mteuzi wake. Lumumba ni nincompoop anayepuuzwa kwao Kenya kwa misimamo yake hasi dhidi ya Serikali ya Uhuru Kenyatta kwa hiyo anakimbilia kufuatilia mambo ya Tanzania kwenye vilaza wengi ikiwa ni pamoja na viongozi. Shaka Ssali ni Mganda jirani yetu na anajua mengi sana kuhusu Afrika ndo maana hata Serikali ya Marekani inamwamini kwa miaka mingi sasa na amemwalika Lumumba baada ya kukosa mwelewa hapa. Lissu atamudu vizuri sana maana si mara ya kwanza na lugha anaijua na Siasa zetu za kusifia tu anazijua!
 
Kumpambanisha Lissu na PLO Lumumba ni kama kuua nzi kwa mzinga! Lumumba anaijuia Afrika yote, wakati Lissu anaijua Chadema nusu nusu tu!
Mataga bhana
Hivi ndani ya CCM Nani anaweza kupambana na Lissu kwa hoja?
Mtaje mmoja tu
 
Lissu kaacha emotion zimtawale

akina Mandela wanaheshimika kuwa inatakiwa kufika muda, wewe UWE juu ya emotion kwa sababu LENGO lake ni kubwa pia...kama bado analo...kajikuta kaishapoteza lengo, kashindwa kuwa rais kivuli, kashindwa kuwa mfariji wa watu wake kipindi cha huzuni....ili atajuta maisha yake yote


sasa kageuka anagombana na Marehemu, na Marehemu anamshinda

analala anamwota, anamwandikia article, na bado anakutana na upinzani na ukuta ule ule kana kwamba marehemu yu hai,


wote tunajua Lissu TZ hana namna ya kupata hela, hakuna client angependa kesi yake isimamiwe na Lissu...kakimbia, na anatafuta sababu ya kuendelea kubaki Ulaya

Haahaa huyo mkenya Koko Hana chochote kipya zaidi ya kukariri ya kale tupu
Huyo sio Mkenya Koko, huyo ni Mkenya Konki Fire, nabii hakubaliki kwao!
Umesikia wewe Ndugu!
 
Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Acha kutisha watu wewe
 
Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na Mtanzania kuliko Lissu?

Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.

Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.

PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Muandish hajui kiingereza tumsamehe bure masilingi aligaragazwa ukitaka andika YouTube jina lake uthibitishe
 
Lissu is scaring you to death

Masillingi the dumbest, Lissu shitted on him mbaya sana

Lumumba is not a natural genius,Lissu is

Lissu can hold his own mzee, don't make that mistake

Lissu ni one of the best brains we have in EA,not even close mzee....au kwavile makelele ya Lumumba yanakufanya uone hivyo?

Brother,Lumumba alienda kichwa kichwa kesi ya Uhuru ya uchaguzi,Attiende Omollo shitted on him big time...

Na Attiende Omollo ndio class za Lissu, dont make any mistake kabisa

Here is the kicker, Lissu knows the deadman Chattle more than Lumumba knows him, its Lissu's territory

Na uelewe Lissu is not some token, he is juggernaut,true juggernaut

Usilete ukiazi hapa
Unazidi kuonyesha namna ulivyo mtupu na mtoto kwa kulazimisha umarekani wakati unatoka Ikungu lya mbeshi.

Andika Kiswahili sanifu kijana wa kitanzania.
 
Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Dah! Anaenda kwenye mdahalo na huyu nguli PLO Lumumba? Chadema wangemshauri mapema asiende au "abehave"!
 
Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Mbona unaanza kujihami kwani kuna nini? Hivi kwani masilingi alisema nini cha kumshinda Lissu? Tujuze mwenzetu.
 
Ni utaahira kumpa mtu ambae hana uwezo wowote wa kihoja mbele za wasomi ushujaa wa Afrika.

Kwa kigezo kipi yaani Magu anaweza kuwa shujaa?
Wewe hujui chochote na hata kama ukijua hutaelewa na ukielewa utaharibu tuu.
 
Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na Mtanzania kuliko Lissu?

Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.

Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.

PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
Lisu si lolote
 
Shujaa wa waafrika?

Unai define vipi afrika?

Maneno kama haya yanatia aibu na kujishushia credibility mbele za watu wenye akili
Wasio na akili tuu ndiyo hawawezi kutambua kuwa Magufuli ni shujaa.
 
Back
Top Bottom