Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Bado mnajitia moyo eeh ??, mna roho ngumu kama mbigiriNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Bado mnajitia moyo eeh ??, mna roho ngumu kama mbigiriNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
hahaaaaaaBado mnajitia moyo eeh ??, mna roho ngumu kama mbigiri
Aliyempiga risasi yupo hai?Huyo mgonjwa anatia huruma ....acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
PLO NI MGANGA NJAA KAMA WAGANGA NJAA WENGINETime saver tu hilo jamaa halina lolote. Akiwa na Kenyatta anacheza ngoma ya Kenyatta. Kwenye kesi ya Raila dhidi ya Kenyatta kupinga uchaguzi, PLO alikuwa lead counsel kwa Kenyatta...
PLO NI MGANGA NJAA KAMA WAGANGA NJAA WENGINE
Ukimwangalia na ile midomo inavyotawanyika ndo unaona tatizo nikubwa kuliko unavyofikiria.Naona aliyekuwa mzima bado yupo.
Ambazo nyingi sio za maanaAaa Mzee, siku ile WM aligaragazwa mpaka analialia. Kapewa vifungu vya sheria anasema ooo hiyo haitafsiriwi hivyo. Kapelekeshwa wee alivorudishwa nyuma kaishia kusema oo we rudi nyumbani kajenge taifa. Siku ile nilikuwepo. WM was an obvious underdog. Alitia huruma sana.
Huyu Lumumba hana asset za kutosha kuhusu tz ingawa atamshinda TL kwa vocabulary tu
Mzee safiLumumba is overrated.... Si alipewa Tume ya kupambana na ufisadi alifanikiwa lipi?....
Mgonjwa wenu tumemzika na covid yake,kichaa kilimpanda akaacha kuvaa barakoa mwishowe kameza ulimi wakeHuyo mgonjwa anatia huruma, acha ang'ake wapambe wake wamsifie kwa mapambio.
Masilingi alikua mweupe mbele ya lissu,alibaki kuvuta domo lake kama anakunywa wanzukiSasa siku ile Masilingi alitoa point ipi zaidi ya kuonyesha amekasirika !!.
Odhis *
Tulia uandike vizuriHivyo kesho ni mechi kati ya muwakilishi wa wazendo vs muwakilishi wa mabeneru. Magufulication Vs MiGA.
Beberu yuko kaburini kwa kufa na covid,mwizi mwenzake kakonko yuko ndichiHivyo kesho ni mechi kati ya muwakilishi wa wazendo vs muwakilishi wa mabeneru. Magufulication Vs MiGA.
Lumumba msaka tonge!Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane...
ShetaniLegacy mbaya sana sana hii.
Taifa la uongo uongo.
Kiongozi muongo,anayeongozwa muongo.
Baba wa uongo ni ....
Kweli tunatofautiana ku -grasp materials. Hivi kweli kwa tuliosikia kipindi Masilingi aliongea chochote? Nahisi mtoa hoja hukuwa msikivu au English ilikupità mbaliKesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane...
Kwani wa nchi ganiLumumba Mkenya ?fala sana wewe
Ila aliwaomba kusamehe mikopo nkNI shujaa was Afrika . hakuogopa kuongea ukweli
Hakukubalu kupiga magoti mbele ya mabeberu
Itikadi gani ya maguKweli kabisa. Lumumba atakuwa anazungumzia 'Ideology', lisu atakuwa anashambulia na kutukana mtu, sasa hapo wapi na wapi?!
Beberu yuko kaburini kwa kufa na covid,mwizi mwenzake kakonko yuko ndichi