Kesho kuna Maandamano ya Wafanyakazi kudai Sheria ya Mafao Ibatilishwe

wanaandamania uingereza?

Ngoja nikatafute mabomu ya machozi proof.
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.

Kassanga.
Tabora.
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.

Kassanga.
Tabora.

Wewe ndio kikwazo cha mabadiliko
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.

Kassanga.
Tabora.

Huna haja ya kutoa povu lote hili for the sake of just saying huandamani.Mabadiliko ya kifikra kwa sasa yanatia moyo.Kuandamana hata kama ni kwa kuungaunga it shows that now we are at least starting to dare.
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.

Kassanga.
Tabora.
Mkuu maandamano ya Wafanyakazi kudai haki yao wewe inakuathiri vp?
 
Itakuchukuwa muda mrefu sana kuelewa maana ya post yangu, soma kwa maarifa ugundue nini kilichomo katikati ya mistari yangu. Usikurupuke kujibu post zangu utabaki njia panda kamanda, fungua akili ya ziada acha papara; penye nguvu hutoka mlo lakini penye uchungu asali hujisokota. Alamski.
Wewe ndio kikwazo cha mabadiliko
 
Itakuchukuwa muda mrefu sana kuelewa maana ya post yangu, soma kwa maarifa ugundue nini kilichomo katikati ya mistari yangu. Usikurupuke kujibu post zangu utabaki njia panda kamanda, fungua akili ya ziada acha papara; penye nguvu hutoka mlo lakini penye uchungu asali hujisokota. Alamski.
hawawezi kukuelewa ndugu yangu,sisi tuliokunywa sifongo ndo tunaweza kukuelewa tu!nisalimie huko tbr maeneo ya mwinyi, bhachu,isevya,chemchem,bila kusahau cheyo kuna siku nitarudi tbr nitakutafuta mkuu labda tunaweza kupata pa kuanzia
 
Kasanga,unapoweka post unatarajia watu waelewe bt unapoweka ili watu wasielewe mi nakuona km tatzo...ww kaa nyumbani upike mkeo akaandamane!Solidarity forever!
 
Jamni mwenye details atuambie hayo maandamano yanaanzia wapi hadi wapi? Yana kibali au hayana? ili watu tuwe tayari kwa lolote.
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani. Kassanga. Tabora.
Uko sawa kabisa, maandamano bila Plan B ni sawa na li-upepo-litavuma litapita litasahaulika.
 
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.

Kassanga.
Tabora.

maandamano haya ni ya wafanyaka wala hayakuhusu wee mkulima wa Tabora, we nenda shamba ukalime matobolwa
 
Itakuchukuwa muda mrefu sana kuelewa maana ya post yangu, soma kwa maarifa ugundue nini kilichomo katikati ya mistari yangu. Usikurupuke kujibu post zangu utabaki njia panda kamanda, fungua akili ya ziada acha papara; penye nguvu hutoka mlo lakini penye uchungu asali hujisokota. Alamski.

mwanaharakati achana naye mkulima huyo wa Tbr
 
hawawezi kukuelewa ndugu yangu,sisi tuliokunywa sifongo ndo tunaweza kukuelewa tu!nisalimie huko tbr maeneo ya mwinyi, bhachu,isevya,chemchem,bila kusahau cheyo kuna siku nitarudi tbr nitakutafuta mkuu labda tunaweza kupata pa kuanzia
mkulima mwenzie mkulima bora mkale sifongo zenu huko Tbr. Na kama ni wafanyakazi basi mtakuwa wa kazi za ndani, hamuwekewi akiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom