Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.
Kassanga.
Tabora.
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.
Kassanga.
Tabora.
Mkuu maandamano ya Wafanyakazi kudai haki yao wewe inakuathiri vp?Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.
Kassanga.
Tabora.
Wewe ndio kikwazo cha mabadiliko
hawawezi kukuelewa ndugu yangu,sisi tuliokunywa sifongo ndo tunaweza kukuelewa tu!nisalimie huko tbr maeneo ya mwinyi, bhachu,isevya,chemchem,bila kusahau cheyo kuna siku nitarudi tbr nitakutafuta mkuu labda tunaweza kupata pa kuanziaItakuchukuwa muda mrefu sana kuelewa maana ya post yangu, soma kwa maarifa ugundue nini kilichomo katikati ya mistari yangu. Usikurupuke kujibu post zangu utabaki njia panda kamanda, fungua akili ya ziada acha papara; penye nguvu hutoka mlo lakini penye uchungu asali hujisokota. Alamski.
Uko sawa kabisa, maandamano bila Plan B ni sawa na li-upepo-litavuma litapita litasahaulika.Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani. Kassanga. Tabora.
Maandamano yamepangwa kuanzia Mnazi mmoja mpaka SSRA offices mikocheni.
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.
Kassanga.
Tabora.
Itakuchukuwa muda mrefu sana kuelewa maana ya post yangu, soma kwa maarifa ugundue nini kilichomo katikati ya mistari yangu. Usikurupuke kujibu post zangu utabaki njia panda kamanda, fungua akili ya ziada acha papara; penye nguvu hutoka mlo lakini penye uchungu asali hujisokota. Alamski.
mkulima mwenzie mkulima bora mkale sifongo zenu huko Tbr. Na kama ni wafanyakazi basi mtakuwa wa kazi za ndani, hamuwekewi akibahawawezi kukuelewa ndugu yangu,sisi tuliokunywa sifongo ndo tunaweza kukuelewa tu!nisalimie huko tbr maeneo ya mwinyi, bhachu,isevya,chemchem,bila kusahau cheyo kuna siku nitarudi tbr nitakutafuta mkuu labda tunaweza kupata pa kuanzia
Ndio, muda huu nimesikia kwa BBC kuwa kesho kuna maandamano.