Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 301
SSRA ivunjwe tu. Ndio tatizo la kuweka wakurugenzi wanawake kwenye mashirika makubwa kwani akili zao ni za kushikiwa tu. Yani hawezi toa hoja kwenye huu uonevu wa waziwazi.
Haswaa mwambie mrina asali huyomaandamano haya ni ya wafanyaka wala hayakuhusu wee mkulima wa Tabora, we nenda shamba ukalime matobolwa
Najisikia vibaya..kama vile unamwongelea mama yako mzazi!!SSRA ivunjwe tu. Ndio tatizo la kuweka wakurugenzi wanawake kwenye mashirika makubwa kwani akili zao ni za kushikiwa tu. Yani hawezi toa hoja kwenye huu uonevu wa waziwazi.
Najisikia vibaya..kama vile unamwongelea mama yako mzazi!!
Dah huu ni mfumo dume! Jinsia si sababu lbd ni kiongozi mbaya tu yeye binafsi, na si kugeneralise wanawake wote, wanaume wangapi tumeona wanaburunda?SSRA ivunjwe tu. Ndio tatizo la kuweka wakurugenzi wanawake kwenye mashirika makubwa kwani akili zao ni za kushikiwa tu. Yani hawezi toa hoja kwenye huu uonevu wa waziwazi.
Najisikia vibaya..kama vile unamwongelea mama yako mzazi!!
Hivi wewemaandamano haya ni ya wafanyaka wala hayakuhusu wee mkulima wa Tabora, we nenda shamba ukalime matobolwa
mkulima mwenzie mkulima bora mkale sifongo zenu huko Tbr. Na kama ni wafanyakazi basi mtakuwa wa kazi za ndani, hamuwekewi akiba
Uko sawa kabisa, maandamano bila Plan B ni sawa na li-upepo-litavuma litapita litasahaulika.
Alright, Big Fish, congratulations! You are secure already, you don't expect much benefit from the said demonstrations, even if they were to yield anything. Looks like you are way past the river bank!!Umejaribu ku google jina langu kidogo; Godfrey Kassanga hebu jaribu uone unavyoaibika...
Upuuzi huu, nani alisema maandamano huleta tofauti yeyote Tanzania? Jikomboeni kwanza kutoka utumwa wa akili, mkaache woga wa kijinga na mkiisha kupata ujasiri nendeni mkaandamane. Kwa Tanzania hii, itapita miaka 200 hadi wananchi kudevelop moyo wa ujasiri na kuandamana kwa nia moja. Otherwise upuuzi tu huu, mi siandamani.
Kassanga.
Tabora.[/QUOTE
Mimi nimekuelewa vizuri sana, tena na Mimi nakusupport, maandamano makes sense pale tutakapojitokeza wote kwa pamoja, wafanyakazi wote tulioajiriwa na tumejiunga na mifuko ya jamii Kama NSSF, PPF, PSPF, etc. Yaandaliwe kwa ufasaha, na tujitokeze wote hapo ndio italeta maana