Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
sasa kama dada zako wanajichubua ni malezi ya familia yenu
ukiachia mbali hao dada zako kuna hata wanamme wanajichubua, angalia waigizaji wa kiume wa ta na baadhi ya waimbaji
tena wameenda mbali hadi wanaweka zazuu
Usituchoshe, hutulipi hatukulipi
Kongosho inaelekea neno la Pastor TF halijakuingia bado maana duuuh maneno yako.....mi simo!