Nikiwa natazama TBC kipindi mwaka mmoja wa awamu ya sita. Moja kati ya mafanikio ni kupatiwa suluhisho kwa kero za Muungano na kero hiyo ni " Ajira za Zanzibar kwenye taasisi na wizara za muungano" Hii kero ndani ya mwaka mmoja imeshapatiwa suluhisho.
Hii kero imepatiwa suluhisho ndani ya muda mfupi mno. Hatujasikia tume ikiundwa wala ikiwasilisha mapendekezo yake.
Nani hasa huwa wanakaa na kuamua haya?
Hivi kero za Muungano ni upande wa Zanzibar tu?
Hii kero imepatiwa suluhisho ndani ya muda mfupi mno. Hatujasikia tume ikiundwa wala ikiwasilisha mapendekezo yake.
Nani hasa huwa wanakaa na kuamua haya?
Hivi kero za Muungano ni upande wa Zanzibar tu?