pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Msingi wa shida zote ni serikali za mitaa, na hizi karibu zote zilipita bila kupingwa,
Sasa hapa Kariakoo misheni kota yaani utafikiri uko sijui kwenye viwanda vya kutengezea malori, yaani mitaa yote kuanzia Ndanda hadi Muheza, Narun'gombe, Magira, Masasi na Aggrey street hapajulikani ni jiji, mji, kijiji au porini?!
Katikati ya nyumba za kuishi na fremu za biashara kuna wasafirishaji wanapanga mizigo ya kusafirisha hadi kuziba barabara na matumizi mengine ya hizo barabara.
Na hili limeripotiwa serikali ya mtaa wa misheni kota ofisi yao ikiwepo pale Tandamti kwenye container bila hatua zozote kuchukuliwa.
Na hata jiji habari zipo na diwani anajua na mbunge pia mheshimiwa analijua na kuliona hili ila wapo kimyaaaaa.
Sasa nauliza wale waliopeleka magari yao jangwani ni wajinga? Kwanini kiburi cha hawa wanaolazimisha kubebea mizigo kwenye makazi ya watu? Jiji halina mipango miji? Au ndio mali ya wakubwa?
Najua magu ungewepo ungeshuhulikia hili ila pia wewe ndio uliwaleta hawa wasimamizi wabovu wa serikali
#ondoamalorikariakoo
Sasa hapa Kariakoo misheni kota yaani utafikiri uko sijui kwenye viwanda vya kutengezea malori, yaani mitaa yote kuanzia Ndanda hadi Muheza, Narun'gombe, Magira, Masasi na Aggrey street hapajulikani ni jiji, mji, kijiji au porini?!
Katikati ya nyumba za kuishi na fremu za biashara kuna wasafirishaji wanapanga mizigo ya kusafirisha hadi kuziba barabara na matumizi mengine ya hizo barabara.
Na hili limeripotiwa serikali ya mtaa wa misheni kota ofisi yao ikiwepo pale Tandamti kwenye container bila hatua zozote kuchukuliwa.
Na hata jiji habari zipo na diwani anajua na mbunge pia mheshimiwa analijua na kuliona hili ila wapo kimyaaaaa.
Sasa nauliza wale waliopeleka magari yao jangwani ni wajinga? Kwanini kiburi cha hawa wanaolazimisha kubebea mizigo kwenye makazi ya watu? Jiji halina mipango miji? Au ndio mali ya wakubwa?
Najua magu ungewepo ungeshuhulikia hili ila pia wewe ndio uliwaleta hawa wasimamizi wabovu wa serikali
#ondoamalorikariakoo