Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hapo lazima mama yake alikuwa wanakusema sana. Dogo kakawa kanamezaKuna nyumba nlpanga zamanii.... Sasa nlkua nabadlisha madem kwa siku ata wa3 kilchokua kinankera n mtt wa mwenye nyumba mdogo ka miaka 7au9 Iv kakiniona tuu na dem kanaanza kuimba lova boy lava boy......nlkua nataman kukupiga kwenzi sema tuu kalkua kanaimba mbele ya mama ake