Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,560
- 1,444
HIvi mtu anatokaje asubuhi hajapiga mswaki, kuoga, kuvaa nguo safi?
Yaani unakuta mtu anaingia kwenye gari ananuka kikwapa mdomo makalio mpaka mtu unaogopa kukaa nae.
Hii kitu huwa inanikwaza sana tena sana halafu chakushangaza ni mtu mzima kabisa na anataka aanze na kuwaongelesha watu na mswaki hajapiga.
Yaani unakuta mtu anaingia kwenye gari ananuka kikwapa mdomo makalio mpaka mtu unaogopa kukaa nae.
Hii kitu huwa inanikwaza sana tena sana halafu chakushangaza ni mtu mzima kabisa na anataka aanze na kuwaongelesha watu na mswaki hajapiga.