Kenyatta Plot to Settle Kikuyu in Tanzania

Kenyatta Plot to Settle Kikuyu in Tanzania

Ehud

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
2,685
Reaction score
338
Kikuyus tena.jpg




Naomba tujikumbushe hii habari ya mpango wa Siri wa Mzee Kenyata kutaka kuwahamishia Wakikuyu nchini Tanzania kama jibu la kutatua tatizo la ardhi nchini Kenya. Hii ilitoka kwenye gazeti la Business Daily la Kenya la tarehe 9 November 2009.

Wakati viongozi wetu wakizidi kusonga mbele na EAC yao; tuwe makini na hila za Wakenya....mpango huu wa mwaka 1963 ullikuwa uwawezeshe Wakikuyu kuhamia Mpanda huko Mkoani Katavi....kazi kwenu kina Sitta.

Seeds of Discord: the secrets of kenya's land settlements
 
View attachment 44126




Naomba tujikumbushe hii habari ya mpango wa Siri wa Mzee Kenyata kutaka kuwahamishia Wakikuyu nchini Tanzania kama jibu la kutatua tatizo la ardhi nchini Kenya. Hii ilitoka kwenye gazeti la Business Daily la Kenya la tarehe 9 November 2009.

Wakati viongozi wetu wakizidi kusonga mbele na EAC yao; tuwe makini na hila za Wakenya....mpango huu wa mwaka 1963 ullikuwa uwawezeshe Wakikuyu kuhamia Mpanda huko Mkoani Katavi....kazi kwenu kina Sitta.

Seeds of Discord: the secrets of kenya's land settlements

Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quantity.
 
View attachment 44126




Naomba tujikumbushe hii habari ya mpango wa Siri wa Mzee Kenyata kutaka kuwahamishia Wakikuyu nchini Tanzania kama jibu la kutatua tatizo la ardhi nchini Kenya. Hii ilitoka kwenye gazeti la Business Daily la Kenya la tarehe 9 November 2009.

Wakati viongozi wetu wakizidi kusonga mbele na EAC yao; tuwe makini na hila za Wakenya....mpango huu wa mwaka 1963 ullikuwa uwawezeshe Wakikuyu kuhamia Mpanda huko Mkoani Katavi....kazi kwenu kina Sitta.

Seeds of Discord: the secrets of kenya's land settlements

Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quality.
 
wapo tayAri wanaona vitoto vyetu na kuviacha in a week na kuleta vyao toka kenya
 
wengine kama joseph mungai waliwahi kuwa hata mawaziri hapa nchini.
Wakikuyu wapo kibao maeneo ya Sumbawanga na Mbeya.
Kuna mtu hapa kasema wakikuyu wana relate na Wasonjo. Naomba atuanzishie thread maalum juu ya hilo kwani ni vizuri kujifunza zaidi.
 
wengine kama joseph mungai waliwahi kuwa hata mawaziri hapa nchini.
Wakikuyu wapo kibao maeneo ya Sumbawanga na Mbeya.
Kuna mtu hapa kasema wakikuyu wana relate na Wasonjo. Naomba atuanzishie thread maalum juu ya hilo kwani ni vizuri kujifunza zaidi.

Mtu haachi asili yake, Mungai mwenye asili ya kikikuyu alitumia uwaziri na ubunge wa jimbo la Mufindi kuhodhi mamilioni ya eka za ardhi wilayani Mufindi.
 
Unfortunately Kenyatta was myopic politically. Had he accepted the East African Federation in 1963-64 the Kikuyus would today be farming in Mpanda.
 
Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quantity.

Wakenya iko janja sana eeh, hatukubali. kama mliruhusu freehold kwenu mtuachie ardhi yetu. Nadhani mkiona mapori yetu roho zinawauma sana eeh....
 
Kenya bakini na utajiri wenu hatuhuitaji huko kwetu. Na muendelee na mipango yenu huko huko.
 
Mpanda labda wangekuwa mbali sana sasa kuliko kundekeza mila za kichawi..
 
Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quality.


It is imperative to get our facts straight, under new Kenya's constitution foreigners, including Tanzanians, are not allowed to own land.
 
It is imperative to get our facts straight, under new Kenya's constitution foreigners, including Tanzanians, are not allowed to own land.

The East African Bweweries company is mainly Kenyan and owns a lot of assets including vast tracts of land in Kenya. The company sells its shares on the Dar es salaam stock exchange. My question is, if I own this company's stock am I not also an owner of the company's assets including the land it owns in Kenya?
 
Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quantity.

ardhi ni ya Mwenyezi Mungu haki ya mwanadamu ni kuitumia tu lakini hana haki ya kuwazuia wenginoe na ndiyo maana ardhi yetu imekuwa ikuuzwa kama njugu..........kwa wageni kwa sababu hayo ndiyo matakwa ya Mwenyezi Mungu................use it or lose it..............it is as simple as that...............
 
View attachment 44126




Naomba tujikumbushe hii habari ya mpango wa Siri wa Mzee Kenyata kutaka kuwahamishia Wakikuyu nchini Tanzania kama jibu la kutatua tatizo la ardhi nchini Kenya. Hii ilitoka kwenye gazeti la Business Daily la Kenya la tarehe 9 November 2009.

Wakati viongozi wetu wakizidi kusonga mbele na EAC yao; tuwe makini na hila za Wakenya....mpango huu wa mwaka 1963 ullikuwa uwawezeshe Wakikuyu kuhamia Mpanda huko Mkoani Katavi....kazi kwenu kina Sitta.

Seeds of Discord: the secrets of kenya's land settlements

Huu mpango wa kenyatta ulikuwa ni mfano wa ukuloni mambo-leo. Shughuli ya kuendesha na kugawa ardhi ya Kenya hivi sasa, ina fanywa na mabwenyeye na matapeli, wakifanya kazi yao chini ya jina la serikali. Hiyo ndio tatizo kubwa tukonayo. Lakini, sioni ubaya yeyote ikiwa serikali za nchi za Afrika mashariki zitataka kufaidikia, zitakapoweka mikakati bora au kuruhusu wawekezaji ambao watatumia ardhi vema kuzalisha mapato , awe ni mzaliwa nchi hiyo au la.
 
i personaly dont agree with you kwamba in 30 years Rwanda itakuwa mbali kuliko nchi nyingine za EA. Naamini Tanzania itakuwa mbali sana kimaendeleo kupita nchi zote za EA hii haipo mbali ndugu yangu tutakapopata utawala bora iwe kwa CDM au CCM naamini mambo yatabadilika tu hatutabaki hivihivi. Ardhi ni rasilimali kubwa sana na haina mbadala wake hao wakenya wako au warwanda wanalitambua hilo na ndiyo maana wanaililia ardhi ya Tanzania
 
Siri kuu ambayo imefanya nchi ya Kenya kustawi kisiasa na hata kiuchumi, ingawa misukosuko na mivutano ya kijamii inatishia kuivunja, ni kuishi watu mseto kutoka mataifa mbalimbali. Tangu tuwe huru, Kenya ina watu wa mataifa mengi ambao waliingia kuishi nchini hata kabla ya Kenya kupata uhuru wake. Na hata baada ya kupata uhuru, bado watu waliendela kuja nchini kuishi. Hii ndio changio kubwa imefanya Kenya kustawi kiuchumi na wakati mwingine kijamii. Kwa hivyo mseto katika jamii ni kiungo kinachohitajika kundelea kiuchumi, ikiwa Tanzania wanataka kufikia maono yao ya maendeleo.
 
Si hila ya Wakenya kama unavyodai, bali Wakikuyu wakija Tanzania watakuwa wanarejea nyumbani kwao huko Sonjo/Batemim hivo wakaribisheni wenzenu. Soma historia kwa makini kwa maelezo zaidi ......... Unaweza pia kupata maelezo zaidi hapa Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa fursa kwa wote, 'Watanzania' wanakaribishwa kunuanua ardhi popote pale Kenya, muhimu ni kubadilishana uzoefu. Jameni tuacheni hizi chuki za utaifa usio na maana. Kenya ina uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki, ardhi yake ndogo, haina madini, gesi wala mafuta. Kuwa na Ardhi kubwa si hoja, tizama Rwanda sasa, wapeni Wanyarwanda miaka 30 na watakuwa wamezipita kwa mbali nchi zote Afrika Mashariki. DRC Congo ina ardhi yenye upana wa Ulaya Magharibi lakini angalia iliko hivi sasa. Its not quantity that matters its quantity.

Kuna ambacho sijakielewa hapo au ni "phrasing error"?
 
The East African Bweweries company is mainly Kenyan and owns a lot of assets including vast tracts of land in Kenya. The company sells its shares on the Dar es salaam stock exchange. My question is, if I own this company's stock am I not also an owner of the company's assets including the land it owns in Kenya?

The company (EABL/KBL) is not mainly Kenyan owned anymore, the main shareholder since 1991 is Diageo PLC a UK company.:tongue:
 
Siri kuu ambayo imefanya nchi ya Kenya kustawi kisiasa na hata kiuchumi, ingawa misukosuko na mivutano ya kijamii inatishia kuivunja, ni kuishi watu mseto kutoka mataifa mbalimbali. Tangu tuwe huru, Kenya ina watu wa mataifa mengi ambao waliingia kuishi nchini hata kabla ya Kenya kupata uhuru wake. Na hata baada ya kupata uhuru, bado watu waliendela kuja nchini kuishi. Hii ndio changio kubwa imefanya Kenya kustawi kiuchumi na wakati mwingine kijamii. Kwa hivyo mseto katika jamii ni kiungo kinachohitajika kundelea kiuchumi, ikiwa Tanzania wanataka kufikia maono yao ya maendeleo.

Punguza porojo za EAC federation's free land policy, :tongue:

Kwanza, Kenya bado haijastawi kisiasa wala kiuchumi, infact uchumi wa Kenya na wa Tanzania hautofautiani sana (angalia percentage ya Electricity connections Kenya 16% vs. Tanzania 14%) hizi bado ni nchi maskini katika dunia ya tatu (3).:tongue:

Pili, kwani kati ya Tanzania na Kenya ni wapi kuna mchanganyiko mkubwa wa mataifa na makabila mengi? FYI, Kenya kuna makabila 40 wakati Tanzania kuna makabila zaidi ya 120. Pia, tunao raia wengi tu wa Tanzania wanye asili ya kinya-Rwanda, ki-Rundi, ki-Congo, ki-Somali, ki-Hindi, ki-Arabu, kizungu, ki-Shirazi/Persian, kingazija, ki-China etc, etc....

Tembea uone...
 
Punguza porojo za EAC federation's free land policy, :tongue:

Kwanza, Kenya bado haijastawi kisiasa wala kiuchumi, infact uchumi wa Kenya na wa Tanzania hautofautiani sana (angalia percentage ya Electricity connections Kenya 16% vs. Tanzania 14%) hizi bado ni nchi maskini katika dunia ya tatu (3).:tongue:

Pili, kwani kati ya Tanzania na Kenya ni wapi kuna mchanganyiko mkubwa wa mataifa na makabila mengi? FYI, Kenya kuna makabila 40 wakati Tanzania kuna makabila zaidi ya 120. Pia, tunao raia wengi tu wa Tanzania wanye asili ya kinya-Rwanda, ki-Rundi, ki-Congo, ki-Somali, ki-Hindi, ki-Arabu, kizungu, ki-Shirazi/Persian, kingazija, ki-China etc, etc....

Tembea uone...


Mkuu hii minyanga'au imetuzidi kwa kupiga domo tu hakuna lingine. Laiti tukiwaweza kwenye kusimamia uchumi wetu kwa umakini in near future hawa manyang'au watakuwa hawana la kufanya zaidi ya kubaki wakipigana wenyewe kwa wenyewe. Kitu wasichokijua ni kuwa tunataka usawa na kuheshimiana kwenye hiyo EAC wao wanataka wawe ndio viranja wetu wajichukulie rasilimali zetu watakavyo. Itawezekana wapi?
 
Back
Top Bottom