Wakati akizindua ujenzi wa reli kutoka Mombasa through Kigali, Kampala to Juba.
Anasema ni siasa za upuuzi nchi nyingine kusema kuwa wanaachwa kwenye ujenzi wa reli na kasema mbona wanapanga kuunganisha reli kutoka Nairobi hadi Arusha na Moshi.
Amesema yeye hawezi kufuatilia siasa za kipuuzi kwani kazi yake ni kuunganisha maendeleo ya Afrika Mashariki.