Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

ni kwa ajali ya ndege huko ng'ong. alikuwa na naibu wake ambaye pia kafariki.

chanzo : radio uhuru breaking news
 
Habari za hivi punde zinaelezea ajali ya helikopta ya polisi katika msitu wa Ngong nchini Kenya.Helikopta hiyo imeteketea kwa moto na kupoteza maisha ya abiria wote saba waliomo akiwemo waziri wa Mambo ya Ndani mh.George Saitoti.Mkuu wa polisi aelekea eneo la tukio.Chanzo cha ajali hiyo mbaya bado hakijajulikana.Vyanzo vya habari:BBC,KBC na K24.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, but niliyemquote aliandika George Saitoti aliyekuwa makawa wa Rais wakati wa serikali ya Moi, nikadhani hivi sasa hana cheo tena. Got you men!

Mchangiaji alikuwa na maana kuwa mpaka anafariki alikuwa na Cheo hicho, Mara baada ya kufariki Cheo hicho kikatoka.

Asante kwa kuelewa
 
Habari za hivi punde zinaelezea ajali ya helikopta ya polisi katika msitu wa Ngong nchini Kenya.Helikopta hiyo imeteketea kwa moto na kupoteza maisha ya abiria wote saba waliomo akiwemo waziri wa Mambo ya Ndani mh.George Saitoti.Mkuu wa polisi aelekea eneo la tukio.Chanzo cha ajali hiyo mbaya bado hakijajulikana.Vyanzo vya habari:BBC,KBC na K24.
Mbona kuna mdau kishaitupia humu ndani kitambo?kabla ya kupost plz muwe mnajiridhisha kwanza kujua kama iko posted or not!

Pls mods unganisheni hizi thread za saitoti ili ipatikane moja tuu!
 
Hata mimi nimesikia BBC wanasema waliokuwemo kwenye helicopter ni Waziri wa Usalama wa Raia Prof. George Saitoti na Naibu wake Orwa Ojode na maafisa wengine wa Wizara yao,na wote wamekufa...

Kifo cha Prof. Saitoti ni pigo kubwa sana kwa Siasa za Kenya na nchi ya Kenya kwa ujumla..

Kwanza R.I.P. marehemu wote na pole sana serikali, familia za marehemu na Wakenya kwa jumla.

Pili, kwa wanaojua vyeo vya mawaziri wa Kenya naomba msaada kwa hii:
Minister of Internal Security ni = Waziri wa Usalama wa Ndani, Waziri wa Usalama wa Raia au Waziri wa Mambo ya Ndani?
Thanx in advance.
 
Yes,ni police helicopter crash,Prof. George Saitoti and his deputy Mr. Orwa Ojode are feared dead among other 7 passengers who were burnt beyond recognition.
 
R.I.P kwa wao wote.ni coincedent ya ajabu coz 2008 tarehe kama ya leo kuna waziri na naibu wake pia walifariki kwa plane crash.
 
ni kwa ajali ya ndege huko ng'ong. alikuwa na naibu wake ambaye pia kafariki.

chanzo : radio uhuru breaking news

kookolikoo kumbe huwa unasikiliza Radio Uhuru ya CCM! Nami nimesikia taarifa hizo. Mh. Saitoti na Naibu wake Orwa Ojode wamefariki kwenye ajali ya Helkopter ya Polisi huko Ngong. Mungu aiweke pahala pema peponi roho ya professor huyu wa Hesabu na mwanasiasa nguri katika siasa za Kenya.
 
Last edited by a moderator:
Fours years (10 june 2008)ago on the same date a plane crush killed roads minister and an assistant minister home affairs source citizen tv
 
RIP Waziri wa Mambo ya ndani Kenya, Prof (of mathematical topology) George Saitoti; RIP Naibu Waziri wa mambo ya ndani, Kenya, Mr Orwa Ojode. Mwenyezi Mungu awape nguvu wanafamilia, na Wakenya wote katika wakati huu mgumu.
 
[h=1]George Saitoti, Kenyan Minister for Internal Security[/h][h=1]Kenyan minister George Saitoti 'killed in helicopter crash'[/h]
_51606573_fa1d16c0-9c6c-4f82-b0b8-ab66ddd94f78.jpg

Kenyan Internal Security Minister George Saitoti has been killed in a helicopter crash, Kenyan media report.
They say Mr Saitoti and his deputy, Orwa Ojode, were among six people who died when the aircraft went down in Ngong Hills just west of Nairobi.
Kenyan MP Najib Balala confirmed the death in a Twitter message, quoting the office of President Mwai Kibaki. There is no word on the cause of the crash.
Mr Saitoti had been planning to run for the presidency later this year.

Amefariki kwa ajari ya ndege muda si mrefu huko kenya
 
Back
Top Bottom