Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,033
- 9,920
Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imesema uchunguzi umebaini kuwa mahindi yayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya wakenya
Wamesema mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha mycotoxins, hasa aflatoxins na fumonisins ambazo yanajulikana kusababisha saratani
Sumu hizo zimesababisha vifo vya wakenya wengi kwa miaka, hali iliyosababisha wachukue hatua ya kuacha kupokea mahindi kutoka Tanzania na Uganda
Aidha wamesema wataendelea kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi wazoshirikiana nazo kibiashara na wanasubiri kuona washikadau wakilizungumzia tatizo hilo
==
Wamesema mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha mycotoxins, hasa aflatoxins na fumonisins ambazo yanajulikana kusababisha saratani
Sumu hizo zimesababisha vifo vya wakenya wengi kwa miaka, hali iliyosababisha wachukue hatua ya kuacha kupokea mahindi kutoka Tanzania na Uganda
Aidha wamesema wataendelea kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi wazoshirikiana nazo kibiashara na wanasubiri kuona washikadau wakilizungumzia tatizo hilo
==