Kenya yaomba kuruhusiwa kukopa zaidi ili kulipa Madeni ya nyuma na kulipa mishahara ya wafanyakazi

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


Bila kujali vyama, kabila au sehemu wanazotoka, wabunge wakenya wamekubaliana kwamba serikali ya Kenya imefilisika kiasi cha kuomba kuruhusiwa kuomba mikopo itakayowezesha kulipa Madeni ya nyuma na kujenga miradi mikubwa.

Wakati Tanzania ikijitahidi kujenga miradi yake mingi kwa pesa zake za ndani, ili kupunguza kukopa mikopo yenye riba kubwa, kwa jirani hali ni mbaya sana ya kiuchumi kiasi kwamba muda si mrefu nchi italazimika kukopa ili kulipa mishahara ya wafanyakazi, ikiwemo rais na mawaziri wake.

Ningewaomba majirani wamtume rais wao ili aje kumuangukia " uncle Magu" ili awakopeshe japo $1B, kwasababu pesa ipo nyingi tu, tunanunua midege na kujenga madaraja na barabara vile tunavyojisikia
 
Hku awamu hii ndio iliyokopa zaidi katika historia ya bongo


Bila kujali vyama, kabila au sehemu wanazotoka, wabunge wakenya wamekubaliana kwamba serikali ya Kenya imefilisika kiasi cha kuomba kuruhusiwa kuomba mikopo itakayowezesha kulipa Madeni ya nyuma na kujenga miradi mikubwa.

Wakati Tanzania ikijitahidi kujenga miradi yake mingi kwa pesa zake za ndani, ili kupunguza kukopa mikopo yenye riba kubwa, kwa jirani hali ni mbaya sana ya kiuchumi kiasi kwamba muda si mrefu nchi italazimika kukopa ili kulipa mishahara ya wafanyakazi, ikiwemo rais na mawaziri wake.

Ningewaomba majirani wamtume rais wao ili aje kumuangukia " uncle Magu" ili awakopeshe japo $1B, kwasababu pesa ipo nyingi tu, tunanunua midege na kujenga madaraja na barabara vile tunavyojisikia
 
Ile siku mtafilisha deni km letu nchi itaporomoka nakwambia
Hahahaha, unatuombea tuje katika kundi la Madeni hadi tushindwe kulipa kama ninyi?, sisi hatukopi bila sababu za msingi, ni aibu kulipa deni kwa kukopa deni lingine. Sasa kama hadi mishahara mnategemea kukopa, mtapata wapi ujasiri wa kumuadhibu mzungu anayewaita nyani?
 
Nayaskia na kwako hayo
Hahahaha, unatuombea tuje katika kundi la Madeni hadi tushindwe kulipa kama ninyi?, sisi hatukopi bila sababu za msingi, ni aibu kulipa deni kwa kukopa deni lingine. Sasa kama hadi mishahara mnategemea kukopa, mtapata wapi ujasiri wa kumuadhibu mzungu anayewaita nyani?
 
Mbona tupo tu sawa? Deni ya awali ikiwa na riba nzito na ukapata nafasi ya kukopa zaidi tena kwa riba ya nafuu mbona usikope umalizane na deni za hapo awali?
 
Mbona tupo tu sawa? Deni ya awali ikiwa na riba nzito na ukapata nafasi ya kukopa zaidi tena kwa riba ya nafuu mbona usikope umalizane na deni za hapo awali?
Hakuna kitu kama hicho duniani, inapoenda kukopa lazima watazame "records" zako za Madeni ya nyuma na historia yako ya kulipa Madeni, kama inaonekana upo na deni kubwa, uwezekano wa kukopeshwa unapungua, au unakopeshwa kwa riba kubwa na masharti Mengi Sana, ni miongoni mwa sababu za China kukataa kutoa pesa za SGR.
 
Hakuna kitu kama hicho duniani, inapoenda kukopa lazima watazame "records" zako za Madeni ya nyuma na historia yako ya kulipa Madeni, kama inaonekana upo na deni kubwa, uwezekano wa kukopeshwa unapungua, au unakopeshwa kwa riba kubwa na masharti Mengi Sana, ni miongoni mwa sababu za China kukataa kutoa pesa za SGR.
Haha basi mbona tunazidi kukopa na tunapewa tena kwa riba na masharti nafuu? Au unaongelea nchi yako Tanzania? 😹

Kenya iko on a different level than you guys bana. Itabidi mmezidi kuzoea.
 
Haha basi mbona tunazidi kukopa na tunapewa tena kwa riba na masharti nafuu? Au unaongelea nchi yako Tanzania?

Kenya iko on a different level than you guys bana. Itabidi mmezidi kuzoea.
Hahahaha, kichwa yako imejaa usingizi, nani anawakopesha ninyi nchi fukara?, haijawahi kutokea China kukataa kukopesha nchi yoyote hapa duniani, ni Kenya tu ndio China imekataa kuwakopesha.
 
Hahahaha, kichwa yako imejaa usingizi, nani anawakopesha ninyi nchi fukara?, haijawahi kutokea China kukataa kukopesha nchi yoyote hapa duniani, ni Kenya tu ndio China imekataa kuwakopesha.
France, South Korea, Japan, WB, AfDB, China, IMF nk. shida yako?
 
Hahahaha, kichwa yako imejaa usingizi, nani anawakopesha ninyi nchi fukara?, haijawahi kutokea China kukataa kukopesha nchi yoyote hapa duniani, ni Kenya tu ndio China imekataa kuwakopesha.
Jiulize why is our credit rating same as yours?( Category B1)
 
Back
Top Bottom