Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

Kenya watatuacha zaidi kwasababu TZ hatuna plan inayoeleweka. Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara. Kwa Kenya watu ni rasilimali na sio kitu cha kuogopa. Kenya diaspora wote wana haki zao zote za kikatiba na uraia na hii inasababisha uwekezaji mkubwa sana kwenye nyumba na apartments Kenya. Uwekezaji wa Kenya unasababisha serikali kuwwa na pesa kwenye vitu vingine. Kenya budget ni 100% ina garimiwa na Wakenya bila msaaada wowote. Kenya wana katiba mpya na mfumo wa county ambao ni wa kimarekani ambao unapeleka maendeleo zaidi chini na pesa inabaki zaidi kwenye kata na kusaidia zaidi walipa mkodi. Mradi wa train wa Kenya umekwisha. Pamoja na ukabila Wakenya wana furaha kuliko Watanzania. Watanzania tumekuwa tunarudi nyuma kila sehemu. Demokrasia tumerudi nyuma, uchumi tumerudi nyuma, master plan ya nchi haieleweki, uoga kwenye nchi, bank filisi, ardhi kushuka thamani,madeni ya nchi kuongezeka, hakuna uwekezaji binafsi mpya zaidi ya plan za zamani za mikopo. Uhuru wa habari unakufa, vyama vya siasa vina hujumiwa na kufa. Viongozi ni wasomi wasiojua kutenda hawana uzoefu wa utendaji. Tunapigana na rushwa wakati makama ya rushwa haina washitakiwa ..... na waliopo wachache ni wa kuchaguliwa. Kuna video za watu kutoa rushwa lakini hakuna action yeyote... polisi sasa ni chombo cha kisiasa. TRA ni chombo cha kutisha na kuua biashara. Bank ni sanamu hazitoe mikopo , hazina pesa...... Elimu bado hatuna plan wakati viwango vinaendelea kushuka. Tanzania hatuna hata statistics za kueleweka. Mfumo wa Afya unaotegemea msaada tu bila kubadilisshwa mfumo. Nchi ambayo viongozi wanajali siasa zaidi kuliko chi. Nchi ya wajuaji bila kuwa na la kuonyesha. Viongozi ambao wanajali habari kuliko ukweli na wananchi... viongoizi wasioweza kusemwa, kushauriwa au kubadilika......... I wish tungekuwa na viongozi wa Kenya maana sina imani tena... hata rushwa ni macho tu magari ya mchanga hayafanyi kazi mchana kwasababu ya rushwa kuzidi na kuchukua faida yote.....

Kwa ufupi Kenya ni open country na Tanzania ni closed country...
Kenya is not stable politically, the country is not peaceful as you can hear a lot of alshabab attacks, the country is tribalistic, uchumi wao una favor matajiri wachache wenye umiliki wa ardhi karibu robo Tatu ya Nchi, mtu wa kawaida umiliki eka ya ardhi Nairobi ni ndoto, corruption NJE nje, Kabila moja ndio lipo sehemu zote muhimu za ofisi za Serikali, hakuna uzalendo ni u binafsi tu, wanajua kiingereza, ujanja na maneno mingi ili wapate pesa wanafunzi wa Kenya hawa jui hesabu na ndio maana wanao soma huko primary wakuja Tz hesabu hawa jui . Ulizeni historia kwanini EAC ilivunjika 1977 utaelewa ujanja janja wao. Tz ni Kiboko ya Nchi za EAC tuna ardhi, Amani, Watu , uongozi bora, sera bora zinazofanya uchumi wetu ukue kwa kasi, MADINI, utalii mwaka huu watalii ni wengi sana hakuna Cha low wala high season sababu tuna mboga nzuri, vivutio vizuri vya utalii hasa Amani ime wafanya wakimbie kenya NA kuwa acha wake ya wafanya siasa. Hapa kazi tuu. Acha wakae wenyewe hakuna MTZ wa kukimbilia Kenya. Tz imezoea kupokea wakimbizi toka Nchi jirani wakiwa na vita. Watakula wakiwa na shida za kibinaadam. Ardhi yetu ni ya watz period. Peleka salaam kwa walio kutuma
 
Wapo wajinga watakataa na hili
Pesa za walipa kodi zinapotelea kwenye siasa chafu huku wananchi hawana maji safi Elimu ya ovyo Afya ndio usiseme miundo mbinu ya ovyo. Kila kitu ni ovyo nchi hii
Kuna miradi wa umeme Vijijini, kuna miradi mikubwa ya Maji kama huna huduma hizo basi wewe Si MTZ. Watanzania wa kipato cha chini watoto watasoma bure kuanzia shule za msingi, Bara bara zimejengwa Nchi nzima, reli iko Inajengwa ya kisasa miradi ya umeme mikubwa itatufanya tuu ze umeme hadi NJE ya mipaka, bomba la mafuta linajengwa toka Uganda hadi Tanga, Bandari inapanuliwa, Kampuni ya ndege ATCL imefufuliwa Hapo JPM ana miaka 2 tuu. U natafuta justification ya tz kufungua mipaka ili wakenya waje chukua ardhi yetu? Fanya kazi kwa bidii fursa zipo nyingi tu Kwako. Acha kilialia. Hakuna short cut. Kulalamika haku Kusaidii. Fungua ubongo wako ufanye kazi utaondoa umaskini. Deal ni zama za kale. Eti afya shida ? Nenda Muhimbili ya sasa ukilinganisha na miaka 10 iliyopita. Acha uvivu tafuta shughuli ifanye.usipoteze muda hapa.
 
Kenya is not stable politically, the country is not peaceful as you can hear a lot of alshabab attacks, the country is tribalistic, uchumi wao una favor matajiri wachache wenye umiliki wa ardhi karibu robo Tatu ya Nchi, mtu wa kawaida umiliki eka ya ardhi Nairobi ni ndoto, corruption NJE nje, Kabila moja ndio lipo sehemu zote muhimu za ofisi za Serikali, hakuna uzalendo ni u binafsi tu, wanajua kiingereza, ujanja na maneno mingi ili wapate pesa wanafunzi wa Kenya hawa jui hesabu na ndio maana wanao soma huko primary wakuja Tz hesabu hawa jui . Ulizeni historia kwanini EAC ilivunjika 1977 utaelewa ujanja janja wao. Tz ni Kiboko ya Nchi za EAC tuna ardhi, Amani, Watu , uongozi bora, sera bora zinazofanya uchumi wetu ukue kwa kasi, MADINI, utalii mwaka huu watalii ni wengi sana hakuna Cha low wala high season sababu tuna mboga nzuri, vivutio vizuri vya utalii hasa Amani ime wafanya wakimbie kenya NA kuwa acha wake ya wafanya siasa. Hapa kazi tuu. Acha wakae wenyewe hakuna MTZ wa kukimbilia Kenya. Tz imezoea kupokea wakimbizi toka Nchi jirani wakiwa na vita. Watakula wakiwa na shida za kibinaadam. Ardhi yetu ni ya watz period. Peleka salaam kwa walio kutuma
Bado mzee unaonekana ni Die hard wa Lumumba..
Mleta mada kaandika vitu ambavyo viko wazi..
Mjinga huwezielewa.. endelea kusema uchumi unakuwa wakat bado una unga unga maisha[emoji83]
 
Utakuwa na plan wakati wamemsukumizia mtenda maovu ambaye hajui chochote hana sera ni kukurupuka tu kila kukicha kwa mambo ambayo hayana tija kwa Watanzania.
Janga kubwa sana la Taifa huyu.
Mtanyooshwa tuu. Mlizoea kumtukana mkwere? Hii no nyingine. Mwachieni ajenge Nchi. Ndio kwanza ameanza kwa kunyoosha wezi, wala rushwa, walevi wa madaraka etc ka waeleze walio kutuma
 
Akili Za ZWAZWA hizi asiyejua haki zake kama raia.
Wapumbavu kama wewe ni hasara sana kwa Taifa.

Ni afadhali mkuu wa kaya angekaa na Adamu kijana wa mkoani Songwe aliyejaribu kutengeneza ndege yake mwenyewe tofauti na bombadia.Kuliko kukaa na hawa wabakaji tena Ikulu.Sijajua kama bado Ikulu ni mahali patakatifu tena au laa kwa sasa.Sijui wale watoto ambao walibakwa na hawa jamaa wakiona waliowabaka wanavinjali Ikulu watajisikieje? MUNGU TUSAIDIE WATANZANIA.Tusisahau kumwombea ...

Mtanyooshwa tuu. Mlizoea kumtukana mkwere? Hii no nyingine. Mwachieni ajenge Nchi. Ndio kwanza ameanza kwa kunyoosha wezi, wala rushwa, walevi wa madaraka etc ka waeleze walio kutuma
 


Mtanyooshwa tuu. Mlizoea kumtukana mkwere? Hii no nyingine. Mwachieni ajenge Nchi. Ndio kwanza ameanza kwa kunyoosha wezi, wala rushwa, walevi wa madaraka etc ka waeleze walio kutuma
 
Bado mzee unaonekana ni Die hard wa Lumumba..
Mleta mada kaandika vitu ambavyo viko wazi..
Mjinga huwezielewa.. endelea kusema uchumi unakuwa wakat bado una unga unga maisha[emoji83]
Tangulia Kenya ukaishi Si ndio Nchi ya mfano bora Kwako nenda umekaribishwa. Jambo usilolijua sawa na usiku wa kiza. Niko vizuri nachapa kazi. Wababaishaji kama wewe mnajulikana kazi kulalamika lakini nikikuuliza what are your development plans for this week huna majibu kazi kulialia tuu . Fanyeni kazi . Mtamuelewa tu JPM. Deal ni zama za kale.
 
Akili Za ZWAZWA hizi asiyejua haki zake kama raia.
Wapumbavu kama wewe ni hasara sana kwa Taifa.
Wavivu wa kufikiri na kuchukua hatua haraka za kujikwamua kiuchumi Mtabaki kulialia tuu na kudai haki msizozijua hapa JF. Tafuteni shughuli za kufanya deal ni zama za kale. Nenda na wakati fursa zipo mkiacha uvivu na kulialia kugawa kulalamika fanya kazi. Deal ni zama za kale.
 
Wewe mwenyewe uko Tanzania na Huna Land, Wivu wa Kike tu

Wageni wanakuja na chapaa na kununua land wewe, acha ufala
Kwanini mnapenda kuongelea vitu msivyovijua? Hili tatizo litaisha lini? Aliyekuambia mgeni anaweza akamiliki ardhi Tz nani? Watz wenyewe hawawezi, kiufupi ardhi kwa Tanzania si mali ya mtu binafsi, ni ya uma wote. Na kwa sera hiyo, hakuna mtanzania aliye na ardhi yake binafsi na kila mtanzania ana Haki ya kutumia ardhi kokote nchini, vigezo na masharti yakizingatiwa.
 
Kenya is not stable politically, the country is not peaceful as you can hear a lot of alshabab attacks, the country is tribalistic, uchumi wao una favor matajiri wachache wenye umiliki wa ardhi karibu robo Tatu ya Nchi, mtu wa kawaida umiliki eka ya ardhi Nairobi ni ndoto, corruption NJE nje, Kabila moja ndio lipo sehemu zote muhimu za ofisi za Serikali, hakuna uzalendo ni u binafsi tu, wanajua kiingereza, ujanja na maneno mingi ili wapate pesa wanafunzi wa Kenya hawa jui hesabu na ndio maana wanao soma huko primary wakuja Tz hesabu hawa jui . Ulizeni historia kwanini EAC ilivunjika 1977 utaelewa ujanja janja wao. Tz ni Kiboko ya Nchi za EAC tuna ardhi, Amani, Watu , uongozi bora, sera bora zinazofanya uchumi wetu ukue kwa kasi, MADINI, utalii mwaka huu watalii ni wengi sana hakuna Cha low wala high season sababu tuna mboga nzuri, vivutio vizuri vya utalii hasa Amani ime wafanya wakimbie kenya NA kuwa acha wake ya wafanya siasa. Hapa kazi tuu. Acha wakae wenyewe hakuna MTZ wa kukimbilia Kenya. Tz imezoea kupokea wakimbizi toka Nchi jirani wakiwa na vita. Watakula wakiwa na shida za kibinaadam. Ardhi yetu ni ya watz period. Peleka salaam kwa walio kutuma

swali Kwa nini wametuzidi na hayo mabaya yote? kama tuko perfect
 
Ufinyu wa akili huu! Kwamba kila anayekosoa hii Serikali basi ana matatizo ya kiuchumi. Jiongeze ZWAZWA kukosoa Serikali ni haki ya Watanzania wote wenye matatizo ya kiuchumi na wasio na matatizo ya kiuchumi. Warioba, Kinana, Mwinyi, Butiku hawana matatizo ya kiuchumi lakini waliikosoa Serikali.

Ujuha mwisho lumumba siyo humu.

Wavivu wa kufikiri na kuchukua hatua haraka za kujikwamua kiuchumi Mtabaki kulialia tuu na kudai haki msizozijua hapa JF. Tafuteni shughuli za kufanya deal ni zama za kale. Nenda na wakati fursa zipo mkiacha uvivu na kulialia kugawa kulalamika fanya kazi. Deal ni zama za kale.
 
Tzn kuna viwanda vya Ku assemble magari? Huko kwenye viwanda mbali,umecheki miundombinu yao au hata tu town planning? Kitu gani nchi hii cha kujivunia tumewazidi?
Sio tu ku assemble, bali kuyaunda kabisa hapahapa nchini. Yetu yenye nembo yetu na hili tangu miaka ya 80 huko.
 
Utageuka ww,mahekta ya ardhi yanayomilikiwa na kampuni za kigeni na matajiri wachache penyewe hamkurogwa?
Turudie hili mara ngapi? Nimesema hakuna mtu anayemiliki ardhi Tz. Tunakodisha tu matumizi yake, tena kwa wageni ni pamoja na kuwapa maelekezo Vipi waitumie, wakizingua wanatimuliwa.
 
Kenya watatuacha zaidi kwasababu TZ hatuna plan inayoeleweka. Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara. Kwa Kenya watu ni rasilimali na sio kitu cha kuogopa. Kenya diaspora wote wana haki zao zote za kikatiba na uraia na hii inasababisha uwekezaji mkubwa sana kwenye nyumba na apartments Kenya. Uwekezaji wa Kenya unasababisha serikali kuwwa na pesa kwenye vitu vingine. Kenya budget ni 100% ina garimiwa na Wakenya bila msaaada wowote. Kenya wana katiba mpya na mfumo wa county ambao ni wa kimarekani ambao unapeleka maendeleo zaidi chini na pesa inabaki zaidi kwenye kata na kusaidia zaidi walipa mkodi. Mradi wa train wa Kenya umekwisha. Pamoja na ukabila Wakenya wana furaha kuliko Watanzania. Watanzania tumekuwa tunarudi nyuma kila sehemu. Demokrasia tumerudi nyuma, uchumi tumerudi nyuma, master plan ya nchi haieleweki, uoga kwenye nchi, bank filisi, ardhi kushuka thamani,madeni ya nchi kuongezeka, hakuna uwekezaji binafsi mpya zaidi ya plan za zamani za mikopo. Uhuru wa habari unakufa, vyama vya siasa vina hujumiwa na kufa. Viongozi ni wasomi wasiojua kutenda hawana uzoefu wa utendaji. Tunapigana na rushwa wakati makama ya rushwa haina washitakiwa ..... na waliopo wachache ni wa kuchaguliwa. Kuna video za watu kutoa rushwa lakini hakuna action yeyote... polisi sasa ni chombo cha kisiasa. TRA ni chombo cha kutisha na kuua biashara. Bank ni sanamu hazitoe mikopo , hazina pesa...... Elimu bado hatuna plan wakati viwango vinaendelea kushuka. Tanzania hatuna hata statistics za kueleweka. Mfumo wa Afya unaotegemea msaada tu bila kubadilisshwa mfumo. Nchi ambayo viongozi wanajali siasa zaidi kuliko chi. Nchi ya wajuaji bila kuwa na la kuonyesha. Viongozi ambao wanajali habari kuliko ukweli na wananchi... viongoizi wasioweza kusemwa, kushauriwa au kubadilika......... I wish tungekuwa na viongozi wa Kenya maana sina imani tena... hata rushwa ni macho tu magari ya mchanga hayafanyi kazi mchana kwasababu ya rushwa kuzidi na kuchukua faida yote.....

Kwa ufupi Kenya ni open country na Tanzania ni closed country...
Lakini duniani kuna nchi nyingi. Kwa nini tujilinganishe na Kenya?
 
Kenya watatuacha zaidi kwasababu TZ hatuna plan inayoeleweka. Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara. Kwa Kenya watu ni rasilimali na sio kitu cha kuogopa. Kenya diaspora wote wana haki zao zote za kikatiba na uraia na hii inasababisha uwekezaji mkubwa sana kwenye nyumba na apartments Kenya. Uwekezaji wa Kenya unasababisha serikali kuwwa na pesa kwenye vitu vingine. Kenya budget ni 100% ina garimiwa na Wakenya bila msaaada wowote. Kenya wana katiba mpya na mfumo wa county ambao ni wa kimarekani ambao unapeleka maendeleo zaidi chini na pesa inabaki zaidi kwenye kata na kusaidia zaidi walipa mkodi. Mradi wa train wa Kenya umekwisha. Pamoja na ukabila Wakenya wana furaha kuliko Watanzania. Watanzania tumekuwa tunarudi nyuma kila sehemu. Demokrasia tumerudi nyuma, uchumi tumerudi nyuma, master plan ya nchi haieleweki, uoga kwenye nchi, bank filisi, ardhi kushuka thamani,madeni ya nchi kuongezeka, hakuna uwekezaji binafsi mpya zaidi ya plan za zamani za mikopo. Uhuru wa habari unakufa, vyama vya siasa vina hujumiwa na kufa. Viongozi ni wasomi wasiojua kutenda hawana uzoefu wa utendaji. Tunapigana na rushwa wakati makama ya rushwa haina washitakiwa ..... na waliopo wachache ni wa kuchaguliwa. Kuna video za watu kutoa rushwa lakini hakuna action yeyote... polisi sasa ni chombo cha kisiasa. TRA ni chombo cha kutisha na kuua biashara. Bank ni sanamu hazitoe mikopo , hazina pesa...... Elimu bado hatuna plan wakati viwango vinaendelea kushuka. Tanzania hatuna hata statistics za kueleweka. Mfumo wa Afya unaotegemea msaada tu bila kubadilisshwa mfumo. Nchi ambayo viongozi wanajali siasa zaidi kuliko chi. Nchi ya wajuaji bila kuwa na la kuonyesha. Viongozi ambao wanajali habari kuliko ukweli na wananchi... viongoizi wasioweza kusemwa, kushauriwa au kubadilika......... I wish tungekuwa na viongozi wa Kenya maana sina imani tena... hata rushwa ni macho tu magari ya mchanga hayafanyi kazi mchana kwasababu ya rushwa kuzidi na kuchukua faida yote.....

Kwa ufupi Kenya ni open country na Tanzania ni closed country...
Love my fellow Tanzanian
 
Lakini duniani kuna nchi nyingi. Kwa nini tujilinganishe na Kenya?
Nilisha jibu hili swali
"Wanaosema Ethiopia na sio Kenya. Ethiopia tofauti na Kenya wana advantage ya watu zaidi ya 80 M , Uganda wana population ndogo lakini wako chini yetu lakini Kenya wana population ndogo, nchi ndogo zaidi, na same location lakini wametuzidi pamoja na ukabila wao je sababu ni zipi na kwanini. ..."
 
Turudie hili mara ngapi? Nimesema hakuna mtu anayemiliki ardhi Tz. Tunakodisha tu matumizi yake, tena kwa wageni ni pamoja na kuwapa maelekezo Vipi waitumie, wakizingua wanatimuliwa.
Ko hao unaowabwatukia wakija wakakodi na kuizalisha ww na binamu zako mulioshindwa kuitumia munawashwa nini,let them come tupate maendeleo na changamoto lakini akili mgando kama zako ni useless
 
Is Kenya your benchmark?
Yes Kenya can be our benchmark kwa mambo mengi sana, e.g. kilimo bora, uchumi wa viwanda, elimu, culture ya kufanya kazi, to mention only a few. You are yet to bencmark yourself with the likes of South Africa.
 
Yes Kenya can be our benchmark kwa mambo mengi sana, e.g. kilimo bora, uchumi wa viwanda, elimu, culture ya kufanya kazi, to mention only a few. You are yet to bencmark yourself with the likes of South Africa.
Sa unapochanganya changanya lugha ndio iweje?
 
Back
Top Bottom