We unalopoka lopoka tu kama hayawani Wala hujui unachokisemaHakuna mfumo mbaya kama huu! Nchi kuvunjika vipande vipande na kuishia kuwa na nchi ndogo ndogo kama Rwanda na Burundi ni kitendo cha dakika. We unaona Zbar wanavyotupelekesha? Ukishaigawa nchi katika kanda nne au tano, zile kanda zinaweza zikajitangazia mamlaka kamili na kuwa nchi. Refer mgogoro wa kura ya maoni ya Catalonia...
SIJIBIWI HIVI! Kenge wee...We unalopoka lopoka tu kama hayawani Wala hujui unachokisema
Mawazo ya kijinga sanaaaPlan yetu upinzani wa vyama ufe hayo mengine sio size yetu
Siyo swala la unaishi wapi? Nchi sio mtu mmoja. Vilevile kuishi nje sio kwamba wanaoishi Tanzania ni wazalendo zaidi wengine ni kuzubaa na kutokutaka kujiendeleza. Uzalendo ni kujaribu kusaidia Watanzania na jamii yako na kwa upendoNenda Huko Bac Ukaishi