Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

We pumbavu kweli kuna kiwanda gani Kenya Tanzania hakipo? Hiyo kq iliyofilisika haina hata ndege 50? Kila siku ina loss kwenye annual financial statement? Na Ethiopia au Qatar utasemaje? Huna exposure bora tu unyamaze sababu unaongea mavi
Aisee!! Mbona unajitoa ufaham mkuu ushawahi kufika kenya??hawa jamaa wana viwanda cjapata ona afrika mashariki na asilimia 80 ya bidhaa zao zinatengeneza hpo nchini kwao tht y shilling yao iko very strong coz wanafanya manunuzi machache nje ya nchi
 
Aisee!! Mbona unajitoa ufaham mkuu ushawahi kufika kenya??hawa jamaa wana viwanda cjapata ona afrika mashariki na asilimia 80 ya bidhaa zao zinatengeneza hpo nchini kwao tht y shilling yao iko very strong coz wanafanya manunuzi machache nje ya nchi
Hahaha na ukifika South Africa si utazirai? Nitajie kiwanda kilichopo Kenya Tanzania hakuna mbona hukisemi?
 
Kenya! Kenya! Kenya kwani mmepakana na Tanzania tu? kuna ethiopia, somalia,south Sudan kwa nini macho yenu yako Tanzania tu? kama unaona Kenya ni bora kuliko Tanzania basi rudi kule nini kilikuleta huku? na kuna watanzania wapumbavu wanaunga mkono upuuzi wa huyu mshenzi.Mwananchi unaedai hali na kuilalamikia serikali ulishawahi kufika China,USA,UK,AUSRALIA? kama uliwahi kufika ukakaa hata mwezi hakika haitatokea ukailalamikia serikali,ifike mahali mzilalamikie na familia zenu kutowapa muongozo sahihi.Tanzania unaruhusiwa kufanya biashara bila leseni,unauza popote,na chochote kinauzika.Tatizo la watanzania wachache wanataka maisha safiiiiii kirahisi rahisi,gari,nyumba,shamba,miradi mikubwa bila ya kuvuja jasho-unalijua jasho alilovuja Mandela,Halima mdee,Paul makonda,Paul kagame,mseveni,prof jay,Nyerere,Mtoto wa dandu,kanumba na wengine maarufu? Ni kujitoa sadaka na mafanikio yoyote makubwa lazima uadhirike,udharauliwe,udharirike,upuuzwe baade ndo ufanikiwe.Hao akina sisonje ujanani mwao walkuwa wakitembea km 5-20 kuifuata shule kulikuwa na simba,fisi,chui na nyoka mchana kweupe pia kipindi hicho hapakuwa na barabara nyingi na mvua zilikuwa nyingi sana umande hadi kifuani,kipindi hicho sisi tunaolalamika wazazi wetu walikuwa wanacheza poolbed..
 
Kenya! Kenya! Kenya kwani mmepakana na Tanzania tu? kuna ethiopia, somalia,south Sudan kwa nini macho yenu yako Tanzania tu? kama unaona Kenya ni bora kuliko Tanzania basi rudi kule nini kilikuleta huku? na kuna watanzania wapumbavu wanaunga mkono upuuzi wa huyu mshenzi.Mwananchi unaedai hali na kuilalamikia serikali ulishawahi kufika China,USA,UK,AUSRALIA? kama uliwahi kufika ukakaa hata mwezi hakika haitatokea ukailalamikia serikali,ifike mahali mzilalamikie na familia zenu kutowapa muongozo sahihi.Tanzania unaruhusiwa kufanya biashara bila leseni,unauza popote,na chochote kinauzika.Tatizo la watanzania wachache wanataka maisha safiiiiii kirahisi rahisi,gari,nyumba,shamba,miradi mikubwa bila ya kuvuja jasho-unalijua jasho alilovuja Mandela,Halima mdee,Paul makonda,Paul kagame,mseveni,prof jay,Nyerere,Mtoto wa dandu,kanumba na wengine maarufu? Ni kujitoa sadaka na mafanikio yoyote makubwa lazima uadhirike,udharauliwe,udharirike,upuuzwe baade ndo ufanikiwe.Hao akina sisonje ujanani mwao walkuwa wakitembea km 5-20 kuifuata shule kulikuwa na simba,fisi,chui na nyoka mchana kweupe pia kipindi hicho hapakuwa na barabara nyingi na mvua zilikuwa nyingi sana umande hadi kifuani,kipindi hicho sisi tunaolalamika wazazi wetu walikuwa wanacheza poolbed..

Biashara gani unaruhusiwa bila leseni? Machinga au!? kaulize wenye maduka uone. Hasira za nini kama unapenda tunavyoenda mbona hasira. Jiulize badala ya kukasirika ni kipi kipya serikali hii imeleta badala ya mahasira? Kwanini Kenya wametuzidi na wanaendelea kutuzidi. Miradi yote ya sasa ni ya wakati wa Kikwete na Mkapa ni uwekezaji upi binafsi umefanyika TZ. Kenya mfano kuna plant ya VW ya magari inajegwa TZ kuna project gani binafsi mpya mpaka leo? ukweli una uma na sisi tunasema ili serikali ibadilike na kuanza kusaidia na kutoa umasikini sio maneno maneno tu kila siku masifa wakati njaa
 
Wewe mwenyewe inaonekana ni mkenya, "eti kununua land", kaeni na unyang'au wenu huko huko, hatudanganyiki, kamalizeni kwanza ukabila wenu huko kwenu ndo mje muongelee "kununua land Tz".
Ukabila bongo kwani hamna... Now ni usukuma
 
hapa kazi tu ya kulala mbele na uhuru wa kila kitu
 
Safi sana mkuu bora umewaletea na evidence, mi huwa nakereka na mtu ambye siyo wa nchi yangu kuikosoa nchi yangu kma huyu mkenya mleta mada,bora kukosoana wenyewe kwa wenyewe..
Kwahyo sisi na kenya tupo sawa sio
 
Endeleeni kuuwana kwanza ndo mpate akili nzuri za kutamani ardhi za nchi jirani, kwa nini msiende huko somali mbna kuna maeneo pia
Mbona unajibu kitu ambacho sijakiuliza mkuu.... Mi nimesema kwahyo kenya na Tz tupo sawa... Wewe unaleta povu hv hayo ni malezi ya wapi?
 
Mbona unajibu kitu ambacho sijakiuliza mkuu.... Mi nimesema kwahyo kenya na Tz tupo sawa... Wewe unaleta povu hv hayo ni malezi ya wapi?
Umesema sisi na kenya tuko sawa, wewe siyo mtanzania, siwezi kukujibu upuuzi, kiri kwanza hilo ndo upate majibu
 
Endeleeni kuuwana kwanza ndo mpate akili nzuri za kutamani ardhi za nchi jirani, kwa nini msiende huko somali mbna kuna maeneo pia
Kuna mapori mangapi TZ na hata Kenya muache tabia ya kudanganya watu kama vile hakuna ardhi ya kutosha. Kikubwa ni hakuna sheria za Ardhi ambazo ni endelezi. Nigeria ni ndogo kuliko TZ na ina watu 150 na haija jaa. USA Ardhi kubwa na wanalima sana hatuna shida ya Ardhi TZ. Huwezi kuweka uoga tu badala ya kuleta maendeleo ya nchi kuna nchi nyingi sana watu wana penda sheria za ardhi na wana maendeleo. Tumebaki kulumbana tu wenyewe Arusha Monduli sheria mbaya zimeleta jagwa na hata wafugaji wote wamekimbia mpaka Morogoro na Bagamoyo je Adhi ya Arusha kwasasa vipi si bora ungekuwa na uwekezaji!!? Ni mpangilio tu tusiogopeshe watu tatizo kubwa ni viongozi wabaya na kutokuwa na plan yeyote.
 
Kuna mapori mangapi TZ na hata Kenya muache tabia ya kudanganya watu kama vile hakuna ardhi ya kutosha. Kikubwa ni hakuna sheria za Ardhi ambazo ni endelezi. Nigeria ni ndogo kuliko TZ na ina watu 150 na haija jaa. USA Ardhi kubwa na wanalima sana hatuna shida ya Ardhi TZ. Huwezi kuweka uoga tu badala ya kuleta maendeleo ya nchi kuna nchi nyingi sana watu wana penda sheria za ardhi na wana maendeleo. Tumebaki kulumbana tu wenyewe Arusha Monduli sheria mbaya zimeleta jagwa na hata wafugaji wote wamekimbia mpaka Morogoro na Bagamoyo je Adhi ya Arusha kwasasa vipi si bora ungekuwa na uwekezaji!!? Ni mpangilio tu tusiogopeshe watu tatizo kubwa ni viongozi wabaya na kutokuwa na plan yeyote.
Unajua nakushangaa sana wewe mkenya, Kwa nini unahangaika saana na Tanzania, ya Watanzania waachie wenyewe, kumbe unataka ligi ya kuonyesha uzuri wa nchi yako, ingia kule kwenye forum ya East Africa. Sheria za nchi yako kaa nazo huko huko kwenu, eti unatwambia eti hatutaki watu watuletee chapa, si ununue huko huko kwenu, una akili kuliko Watanzania woote. Acha hizo sera zako za kinyang'au , Uhuru Kenyatra wana karibia hekali milioni na zaidi kama hizo sera ni nzuri kuna watu wangpi ukiwemo wewe hawana ardhi lkn familia moja ina heka milioni, kaa huko huko, nimekwambia mimi huko nimeishi na nikasomea huko, naijua Kenya kuliko unavyofikia. Anyway sina muda tena wa kukujibu upuuzi anzisha uzi forum ya afrika mashariki tutakutana huko. Lkn maswala ya ardhi ya Tanzania ya kufanya sheria mje kuishi huku kwa kumiliki ardhi yetu, sahau, kanunue ardhi ya familia ya Uhuru Kenyatta kama una chapaa.
 
Utakuwa na plan wakati wamemsukumizia mtenda maovu ambaye hajui chochote hana sera ni kukurupuka tu kila kukicha kwa mambo ambayo hayana tija kwa Watanzania.
Janga kubwa sana la Taifa huyu.
Tatizo lenu mna hasira sana!

Uchungu ni pale mtu unaemchukia sana, huna la kumfanya na hiyo mpaka 2025 mbona mtakojoa nyongo
 
Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara

hakuna kitu hatari kama hicho, unafikiri kenya kupata Ardhi ni Raisi kama unavyofikiria, au kama jinsi sera yao inavyo sema, Yaani tukilogwa sijui kuruhusu watu wa EAC kuja kununua Ardhi TZ tutageuka watwana katika nchi yetu. hebu jaribu kufikiria ipi rahisi kati ya mkenya kupata Ardhi Tanzania na Mtanzania kupata Ardhi Kenya?
 
Huku kwetu magu anataka wapinzani wa kusifia serikali kwa chochote itakachosema.
dikteta uchwara anataka wapinzani uchwara.
 
Kenya watatuacha zaidi kwasababu TZ hatuna plan inayoeleweka. Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara. Kwa Kenya watu ni rasilimali na sio kitu cha kuogopa. Kenya diaspora wote wana haki zao zote za kikatiba na uraia na hii inasababisha uwekezaji mkubwa sana kwenye nyumba na apartments Kenya. Uwekezaji wa Kenya unasababisha serikali kuwwa na pesa kwenye vitu vingine. Kenya budget ni 100% ina garimiwa na Wakenya bila msaaada wowote. Kenya wana katiba mpya na mfumo wa county ambao ni wa kimarekani ambao unapeleka maendeleo zaidi chini na pesa inabaki zaidi kwenye kata na kusaidia zaidi walipa mkodi. Mradi wa train wa Kenya umekwisha. Pamoja na ukabila Wakenya wana furaha kuliko Watanzania. Watanzania tumekuwa tunarudi nyuma kila sehemu. Demokrasia tumerudi nyuma, uchumi tumerudi nyuma, master plan ya nchi haieleweki, uoga kwenye nchi, bank filisi, ardhi kushuka thamani,madeni ya nchi kuongezeka, hakuna uwekezaji binafsi mpya zaidi ya plan za zamani za mikopo. Uhuru wa habari unakufa, vyama vya siasa vina hujumiwa na kufa. Viongozi ni wasomi wasiojua kutenda hawana uzoefu wa utendaji. Tunapigana na rushwa wakati makama ya rushwa haina washitakiwa ..... na waliopo wachache ni wa kuchaguliwa. Kuna video za watu kutoa rushwa lakini hakuna action yeyote... polisi sasa ni chombo cha kisiasa. TRA ni chombo cha kutisha na kuua biashara. Bank ni sanamu hazitoe mikopo , hazina pesa...... Elimu bado hatuna plan wakati viwango vinaendelea kushuka. Tanzania hatuna hata statistics za kueleweka. Mfumo wa Afya unaotegemea msaada tu bila kubadilisshwa mfumo. Nchi ambayo viongozi wanajali siasa zaidi kuliko chi. Nchi ya wajuaji bila kuwa na la kuonyesha. Viongozi ambao wanajali habari kuliko ukweli na wananchi... viongoizi wasioweza kusemwa, kushauriwa au kubadilika......... I wish tungekuwa na viongozi wa Kenya maana sina imani tena... hata rushwa ni macho tu magari ya mchanga hayafanyi kazi mchana kwasababu ya rushwa kuzidi na kuchukua faida yote.....

Kwa ufupi Kenya ni open country na Tanzania ni closed country...
Plan ipo nchini bwana: tuuwe upinza nakumsifia yulewww
 
Sema wewe huna plan lkn sio Tanzania na ukumbuke kila nchi duniani ina mifumo yake na sio kutamani Yaliyoko Kenya
 
Sisi ni masikini na nani? Jiongelee binafsi yako kijana hahaha yaelekea hujaona vx v8 huko barabarani hujaona mijumba ya maana tena wamiliki ni vijana wadogo wenye private investment, kaa hapo uisubirie serikali ikukomboe kwenye ufukara ulikukaa mpaka akilini na mwili mzima

Acha utoto, hapa hatuongelei utajiri wala umasikini wa mtu mmoja mmoja, bali ni umasikini wa nchi.
 
Wewe mwenyewe inaonekana ni mkenya, "eti kununua land", kaeni na unyang'au wenu huko huko, hatudanganyiki, kamalizeni kwanza ukabila wenu huko kwenu ndo mje muongelee "kununua land Tz".
Umeona hawa jamaa wanatamani ardhi yetu yao inamilikiwa na familiya
 
Back
Top Bottom