Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

Utakuwa na plan wakati wamemsukumizia mtenda maovu ambaye hajui chochote hana sera ni kukurupuka tu kila kukicha kwa mambo ambayo hayana tija kwa Watanzania.
Janga kubwa sana la Taifa huyu.
Tupatie plan ya mwenyekiti wako kuelekea 2020, au ndo hiyo ya kujitoa kila uchaguzi
 
Maeneo ambayo hatutakiwi kushindana na Kenya na kutegemea kuwapita kiurahisi ni pamoja na viwanda na usafiri wa anga. Ijapo kuna maeneo tunaweza kuwekeza na wasitukute kamwe kama vile kwenye kilimo cha kibiashara kwani tuna ardhi kubwa na nzuri sana, pia kwenye kuitumia ardhi kama mtaji wa kipato cha uchumi kwakuipima na kuithamanisha. Pia tunao uwezo mkubwa katika suala la utarii kama tunafikiria nje ya boksi. Mikoa yetu mingi ina sifa na vivutio vingi sana vya utarii tatizo ni kukariri vichache vilivyopo tayari, halmashauri zetu kutokuwa na ma afisa utarii waliosomea fani hiyo nalo ni tatizo la aina yake. Ndo hayo tu kwa leo
We pumbavu kweli kuna kiwanda gani Kenya Tanzania hakipo? Hiyo kq iliyofilisika haina hata ndege 50? Kila siku ina loss kwenye annual financial statement? Na Ethiopia au Qatar utasemaje? Huna exposure bora tu unyamaze sababu unaongea mavi
 
"Agenda za CHADEMA 2018 ni Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi na huu ndio msimamo wetu". Freeman Mbowe.

Tupatie plan ya mwenyekiti wako kuelekea 2020, au ndo hiyo ya kujitoa kila uchaguzi
 
"Agenda za CHADEMA 2018 ni Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi na huu ndio msimamo wetu". Freeman Mbowe.
Hahaha endeleeni na kisimamo mkichoka mtakaa wenyewe
 
Kaombe uraia, tuache na Tanzania yetu tulivyo
Mkuu huyu ni mkenya tayari, fatilia hata kiswahili alichotumia luandika ni mkenya, tena wa western kule na atakuwa ni mluhya tu...arudi tu huko kwao kwani huku kwetu anapapendea nini kma ameona hatuna plan B?
 
Acha uongo,sio Greece ile kwamba uchumi umecolapse hadi isikopesheke,afu Japan na marekani sana uwiano mkubwa kabisa wa madeni kwa pato LA taifa na wanakopesheka
Mkuu nenda uka Google na uone limit za nchi za kiafrika kukopa. Usifananishe Greece Japan ama Marekani katika kukopesheka kwani asilimia kubwa za mikopo barani Africa huishia mifukoni mwa viongozi
 
Bidhaa za Kenya ni Bora na zinanunulika Tanzania. BLueband, Mafuta Fresh, Juices, Mafuta ya KCC, Siagi, Cofta, Hedex na nyingine kede kede

Embu Nenda Kenya kama utaona bidhaa za TZ supermarket za kenya?

Watz wanadanganywa na kauli mbiu ya Tanzania ya Viwanda...Wao Kenya ni Vitendo

Sera inayotekelezeka Tanzania ni kuuwa upinzani

Nao ViwaviJeshi kazi yao ni matusi, hawawezi kujenga hoja na kujibu hoja, wanatukana watu wanaokosoa serikali
Aliyekudanganya blueband,cofta hedex ni za Kenya ni nani??
 
"Agenda za CHADEMA 2018 ni Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi na huu ndio msimamo wetu". Freeman Mbowe.
Kikwete alishawapa nafasi ya kupata katiba mpya mkaichezea hivyo subirieni miaka 20 mingine ipite.
 
Chakubanga kabla ya kuamua kujitoa ufahamu alijua ukweli umelalia wapi. Tia akili kichwani ili ujue kwanini katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi vinaogopwa na hii Serikali dhalimu kama UKOMA.



Hahaha endeleeni na kisimamo mkichoka mtakaa wenyewe
 
Unaishi dunia ipi wewe! Acha kuandika pumba. Kwanini mlipiga Warioba? Kikwete hawezi kuzuia utashi wa Watanzania wala yeyote yule. Hakuna mwenye hati miliki. Tanzania ni ya WATANZANIA si ya Kikwete, uchwara wala chama cha wahuni na mafisadi.

Kikwete alishawapa nafasi ya kupata katiba mpya mkaichezea hivyo subirieni miaka 20 mingine ipite.
 
Huu ukubwa wetu unatusaidia nini? Mbona bado sisi ni masikini na wakati ni wamoja toka uhuru? Ungeweza kueleza ukubwa wetu umebadilisha vipi umasikini wetu wangalau ningeelewa unasema nini.
Sisi ni masikini na nani? Jiongelee binafsi yako kijana hahaha yaelekea hujaona vx v8 huko barabarani hujaona mijumba ya maana tena wamiliki ni vijana wadogo wenye private investment, kaa hapo uisubirie serikali ikukomboe kwenye ufukara ulikukaa mpaka akilini na mwili mzima
 
  • Thanks
Reactions: Oii
E
Sidhani kama kuna kitu utaelewa humo kwa namna ulivyo kilaza World Bank warns Kenya of looming debt risk
Wewe ndo kilaza unadhani wanauchumi hawajui hiyo,51% ni kitu gani kwa nchi yenye uchumi wa matirion ya shng? Good enough wamekopa Ku finance miundombinu,nyie na sizonje wenu deni limeongezeka kwa kazi mumefanyia nn hizo pesa maana hstuoni kitu.U know nothing abt economics,shut up
 
Safi sana mkuu bora umewaletea na evidence, mi huwa nakereka na mtu ambye siyo wa nchi yangu kuikosoa nchi yangu kma huyu mkenya mleta mada,bora kukosoana wenyewe kwa wenyewe..
Hahaha huyo ni jaluo mtupu na hii thread aliileta kule Kenyan forum eti anasema watanzania wanaihusudu sana Kenya
 
E

Wewe ndo kilaza unadhani wanauchumi hawajui hiyo,51% ni kitu gani kwa nchi yenye uchumi wa matirion ya shng? Good enough wamekopa Ku finance miundombinu,nyie na sizonje wenu deni limeongezeka kwa kazi mumefanyia nn hizo pesa maana hstuoni kitu.U know nothing abt economics,shut up
We unaelinganisha Kenya na USA kwenye ukopaji mikopo ndio kilaza hivi kisa Bank inapokea wajasiriamali wa aina zote utajilinganisha na mtu kama Coca-Cola na wewe unaetengeneza chang'aa kwenye misuli ya ukopaji?
 
Hahaha huyo ni jaluo mtupu na hii thread aliileta kule Kenyan forum eti anasema watanzania wanaihusudu sana Kenya
Aahhaaaaa kuuumbe, mi nimeona benki anaita bank, ardhi eti land, duh? Nikaona huyu anatuona waovyo sana
 
Back
Top Bottom