luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,329
- 6,880
Habrini za mchana wadau!
Jaman kwa mujibu wa radio Deutsche Welle idhaa ya Kiswahili imesema Kenya ndio nchi maskini katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Unaambiwa umaskini Kenya unapungua kwa kiwango cha 1.6 % + Wananchi wake ndio wenye kipato cha chini kuliko nchi zote za EAC.
Japo redio hiyo inasema uwepo wa Serikali za kaunti kidogo inachangia ongezeko la mapambano dhidi ya umaskini kwa kurahisisha upatikanaji wa rasilimali na huduma muhimu.
====
SASA NYIE WA KENYA WA HUMU MNAOJIFANYA KENYA NDIO NCHI TAJIRI KWA UKANDA HUU WA EAC mbona mlikuwa mnadanganya kwa kujifanya eti KENYA NDIO NCHI tajiri. weak up KENYAN our dear brother & sister acheni kujivuna humu JF kumbe nyie ni HOHEHAE mnajifanya mnandege 24 kumbe hamna kiitu mara mjifanye mnazalisha maua mna export kumbe wanufaika wapo US.
Source : Radio Deutsche Welle makala ya wanawake
Mtangazaji ni : Theluma mwanzaya
Jaman kwa mujibu wa radio Deutsche Welle idhaa ya Kiswahili imesema Kenya ndio nchi maskini katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Unaambiwa umaskini Kenya unapungua kwa kiwango cha 1.6 % + Wananchi wake ndio wenye kipato cha chini kuliko nchi zote za EAC.
Japo redio hiyo inasema uwepo wa Serikali za kaunti kidogo inachangia ongezeko la mapambano dhidi ya umaskini kwa kurahisisha upatikanaji wa rasilimali na huduma muhimu.
====
SASA NYIE WA KENYA WA HUMU MNAOJIFANYA KENYA NDIO NCHI TAJIRI KWA UKANDA HUU WA EAC mbona mlikuwa mnadanganya kwa kujifanya eti KENYA NDIO NCHI tajiri. weak up KENYAN our dear brother & sister acheni kujivuna humu JF kumbe nyie ni HOHEHAE mnajifanya mnandege 24 kumbe hamna kiitu mara mjifanye mnazalisha maua mna export kumbe wanufaika wapo US.
Source : Radio Deutsche Welle makala ya wanawake
Mtangazaji ni : Theluma mwanzaya