Kenya Kwanini Njaa bado ni Tatizo..?..

tony umeongea ukweli kabisa ...kenya usipojituma eti ukae usubirie hao watu wanaojijali wakufanyie lau miradi ya vyakula na kuwasaidia walala hoi...utakufa kw njaa tu...yani kiufupi kila mtu anajijali tu...
waache media wawaumbue tu kila mwaka...si aibu tunapata wote..manake mataifa jirani watasema wakenya tuna njaa..kumbe ni uzembe wa serikali yetu
I agree. Infact unakuta watu ambao wanakufa ni watatu au wanne tu lakini hio story inafika CNN na BBC eti Kenya kuna baa la njaa. Wanatuharibia jina. How much does it cost to bring food to these people? Kama looting our money ni rahisi na tushawaachia waloot venye wanataka, yaani hawawezi toa one percent ya loot yao wakatupia hao watu wa Northern Kenya. Hata Lazarus wa bible alikuwa anatupiwa mabaki ya chakula akiwa chini ya meza ya mfalme. Lakini hapa Kenya hata mabaki ya corruption au taxes hamwezi onja. Kila mtu ajipange Kenya ina wenyewe.
 
joto la jiwe ..kwhyo unapiga au unakataa...
hhhhhh...kw povu hilo...duh...naona nimekushika pabaya...unataka uelezwe ya kenya wakati nakuuliza ya kwenu unatoa povu...

haya nakusubiria...barudia tena km nyumbani kwako kuna chakula cha kutosha na hadi kukitoa nje ya nchi mbna watotl wanakula kinyesi na wengine kula albino na kupika supu....
sasa tuelezeni kwnn mnajisifia kwakuwa na chakula na wakati watoto wanakula kinyesi,wengine kunywa supu za albino,kuongoza kw umaskini ea,
Hiyo ya watoto kula meffi ni juzi tu. Video ipo.Serikali ya Tanzania hudhibiti media so ni ajabu sana kuonakuona hili liliumbuka bila suppression.
Top 10 Facts About Hunger in Tanzania | The Borgen Project
 
Hiyo ya watoto kula meffi ni juzi tu. Video ipo.Serikali ya Tanzania hudhibiti media so ni ajabu sana kuonakuona hili liliumbuka bila suppression.
Top 10 Facts About Hunger in Tanzania | The Borgen Project
Weka video acha Maneno yako, kama serikali inadhibiti, Wewe ulijuaje kama watoto wanakula kinyesi?, kwasababu ya kukosa points, mumeamua kutengeneza storie kama ilivyokawaida yenu. Mauaji ya albino, mnageuza na kusema Tanzania wanakula Albino, sasa hivi mnasema watoto wanakula kinyesi, tukiomba ushahidi, mnasema serikali inadhibiti ushahidi, ninyi ni watu wa hovyo Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yetu ndio ina ujinga. Ukianzia president na Raila na Ruto. Ni watu wanaojijali ila hawajali raia. Hapa Kenya usipojitafutia chakula yako utakufa njaa. Hata U.S kuna watu hawana chakula lakini serikali ya huko inawapa chakula yaani food stumps. Wengine wetu tumelalamika kwa miaka kadhaa sasa kuhusu Turkana na Baringo lakini serikali hili corrupt halisikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Wengine wetu hatuna la ziada ila kuangalia tu maaana wengine wetu hatuna uwezo wa kufanya lolote.
Serikali ya Kenya inawajari sana wakenye cheki hizi jitiada ambazo serikali yako inakufanyia
tapatalk_1551986310149.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
I agree. Infact unakuta watu ambao wanakufa ni watatu au wanne tu lakini hio story inafika CNN na BBC eti Kenya kuna baa la njaa. Wanatuharibia jina. How much does it cost to bring food to these people? Kama looting our money ni rahisi na tushawaachia waloot venye wanataka, yaani hawawezi toa one percent ya loot yao wakatupia hao watu wa Northern Kenya. Hata Lazarus wa bible alikuwa anatupiwa mabaki ya chakula akiwa chini ya meza ya mfalme. Lakini hapa Kenya hata mabaki ya corruption au taxes hamwezi onja. Kila mtu ajipange Kenya ina wenyewe.
You have just given a description of a failed state. You only left out the $60bn unpaid loan
 
Hata mtu mmoja kufa kwa kukosa chakula hilo baa la njaa.. Acha ujinga wewe
I agree. Infact unakuta watu ambao wanakufa ni watatu au wanne tu lakini hio story inafika CNN na BBC eti Kenya kuna baa la njaa. Wanatuharibia jina. How much does it cost to bring food to these people? Kama looting our money ni rahisi na tushawaachia waloot venye wanataka, yaani hawawezi toa one percent ya loot yao wakatupia hao watu wa Northern Kenya. Hata Lazarus wa bible alikuwa anatupiwa mabaki ya chakula akiwa chini ya meza ya mfalme. Lakini hapa Kenya hata mabaki ya corruption au taxes hamwezi onja. Kila mtu ajipange Kenya ina wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka video acha Maneno yako, kama serikali inadhibiti, Wewe ulijuaje kama watoto wanakula kinyesi?, kwasababu ya kukosa points, mumeamua kutengeneza storie kama ilivyokawaida yenu. Mauaji ya albino, mnageuza na kusema Tanzania wanakula Albino, sasa hivi mnasema watoto wanakula kinyesi, tukiomba ushahidi, mnasema serikali inadhibiti ushahidi, ninyi ni watu wa hovyo Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka evidence iletwe mara ngapi?
Video: Hili la njaa tusichekane, watoto waishi kwa kula kinyesi

You have just given a description of a failed state. You only left out the $60bn unpaid loan
TOM EATON: Tanzania is winning at becoming a failed state
Monkey car !!!!!!!!! Eti hii ni bei gani?View attachment 1048100

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaulize watengenezaji.sawa monkey mwenzangu?
 
I agree. Infact unakuta watu ambao wanakufa ni watatu au wanne tu lakini hio story inafika CNN na BBC eti Kenya kuna baa la njaa. Wanatuharibia jina. How much does it cost to bring food to these people? Kama looting our money ni rahisi na tushawaachia waloot venye wanataka, yaani hawawezi toa one percent ya loot yao wakatupia hao watu wa Northern Kenya. Hata Lazarus wa bible alikuwa anatupiwa mabaki ya chakula akiwa chini ya meza ya mfalme. Lakini hapa Kenya hata mabaki ya corruption au taxes hamwezi onja. Kila mtu ajipange Kenya ina wenyewe.
Turkana sits on a 250bn cubic meter aquifer. Kenya consumes 3bn cubic meters every year. Turkana alone can quench the country for over 70 years. This discovery was made in 2013. To date people are dying on top of the aquifer. Tell me again how we don't still need a revolution!! Sijui tufanye kama Venezuela ndio tueleweke 😳😳
 
Turkana sits on a 250bn cubic meter aquifer. Kenya consumes 3bn cubic meters every year. Turkana alone can quench the country for over 70 years. This discovery was made in 2013. To date people are dying on top of the aquifer. Tell me again how we don't still need a revolution!! Sijui tufanye kama Venezuela ndio tueleweke
Nimekuelewa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom