Kenya Election 2007: Outcomes

Kushindwa kwa Kenyatta na wengine waliomfuatia kuweka mbele maslahi ya nchi ya Kenya isiwe sababu ya kutulazimisha kuingia kwenye shirikisho eti tunawasaidia waondokane na matatizo yao ya kikabila.

Suluhisho liko huko huko Kenya. Waweke utaratibu mzuri na haki wa utawala.

Nyerere alipokuwa anahangaika na kuwaunganisha waTanzania wao wanatucheka eti tunagawana umaskini. Huu sasa ni wakati kwa waTanzania kuweka juhudi zao zote kutafuta maendeleo kwa kufanya kazi; tuachane na kutafuta sifa za kwenda kuwatatulia matatizo yao yasiyotuhusu.
 

..kaka,

..hiyo more powerful and superior group ndiyo ipi? tz and ug?

..sikatai hiyo school of thought uliyoi-quote,lakini kwa hali ya hapa kwetu mashariki ya afrika,hiyo ni ndoto.
 

..kitila,mzalendo...,

..ndio maana nikasema kufikiria hivi ni naive,kwasababu pamoja na kwamba hayo mawazo ni mema,hayawezekani katika hali halisi!

..samahani ningeweza kuelezea kidogo,ila muda na tabia yangu mbaya ya uvivu wa kutoa maelezo! hebu tutazame the balkans,je?tunajifunza nini?

..if u ask me jamii za hapa hazitofautiani sana na za balkans,huwezi kuzi-intergrate bila udikteta!

..sasa,kama the good cause kwa you guys ni kuungana,itabidi udikteta utumike!je,hii ndio mnataka?
 


Mtanzania,

EAF tusubiri hadi lini? We have waited 45 years -so what have benefited! Countries are coming together all the world- leo EA ni masikini na bado tunaogopa!

If EAF ingetokea 1960s leo kiuchumi na kisiasa tungekuwa mabli zaidi! Mawazo yale yale aliyosema Nkrumah.. "Afrika we unite or else we perish"

Hatuhitaji uchumi kutengemaa kwanza kama EU- tuungane tu -tuwe na sarafu na raisi na jeshi moja!

Ktk utengano wetu, ndo wakubwa wanatuchezea wanavyopenda!

I hope tungeungana hata leo, ili haya mambo ya Kenya yasije kujtokea tena! Wakikuyu kama wakipenda waje Tz sii kama wakimbizi ila kama Eastafricans- na Wachagga waende Kenya!
 
Mzalendohalisi

Unafurahisha sana unaposema tusubiri hadi lini? Kwani ndoa ni lazima? Yaani kwa sababu ulimwenguni nchi zingine zinaungana basi na sisi tukimbilie kuungana tu, umasikini hautokani na kutokuungana. angalia Botswana ni nchi ya kwanza Afrika kuanza kuwapa pension wale wote ambao ni wazee, yaani miaka nafikiri kuanzia 65 wanapata malipo na hawa walikuwa hohehae walipopata uhuru hata kuliko sisi. Wanatumia rasilimali zao vizuri sisi tunawapa akina RA, Sinclair and the likes.

Kama tungekuwa waangalifu leo hii tungekuwa mbali hizi sifa za kutaka kuwa mstari wa mbele ndio zinatumaliza. Waache Kenya wasuluhishe matatizo yao. Kama waafrika tukiamua hatutaki kuchezewa tuanze kukubaliana na kuweka bei za mazao yetu kama OPEC wanavyofanya kwenye mafuta sio hii miungano ya kulazimishana. Vile vile viongozi waache kuweka pesa wanazoiba kwa walalahoi huko majuu na kulazimishwa sera na makuwadi wao IMF na World bank.

Kitila

Tuachane na kuwa messiah, kazi tuliyofanya ya kukomboa kusini mwa Afrika imetosha na sasa ni wakati wa kukomalia maendeleo ya WTZ, politically kama tunataka kuwa kitu kimoja inawezekana hata bila ya Muungano. Matatizo yetu hayawezi kwisha kwa sababu ya kuungana, ni lazima kuchapa kazi kwa ufanisi na kuona keki ya taifa inatumika vizuri bila kufaidisha miungu watu pekee.
 
Mtanzania,

EAF tusubiri hadi lini? We have waited 45 years -so what have benefited! Countries are coming together all the world- leo EA ni masikini na bado tunaogopa!

..like in the balkans,sio!

..unajua EU imewachukua miaka mingapi ya mipango yenye kusimamiwa kwa adabu,mpaka wakafika hapo? na kama haitoshi ilipoitishwa kura ya maoni wananchi wakagoma!

If EAF ingetokea 1960s leo kiuchumi na kisiasa tungekuwa mabli zaidi! Mawazo yale yale aliyosema Nkrumah.. "Afrika we unite or else we perish"

..tutakufa kama kwame na bado afrika itakuwa si moja! kitu gani hasa kinachoweza kutuunganisha? huu umasikini? au huu ujinga wetu? au haya maradhi tuliyonayo? maana,for sure resources zitatutenganisha vibaya sana! unafikiri angola wako tayari ku-share mapato ya mafuta na swaziland? unafikiri botswana wako tayari ku-share mapato ya almasi na malawi? kisa,mashemeji zao au?

Hatuhitaji uchumi kutengemaa kwanza kama EU- tuungane tu -tuwe na sarafu na raisi na jeshi moja!

..uchumi ndio nguzo. infact,hamwezi kuwa na sarafu moja kama kimsingi mnatofautiana kiuchumi,labda mmoja amtawale mwingine,then hiyo ni hadithi tafauti!

Ktk utengano wetu, ndo wakubwa wanatuchezea wanavyopenda!

..tulishatengwa toka enzi ya "the scramble for africa"

I hope tungeungana hata leo, ili haya mambo ya Kenya yasije kujtokea tena! Wakikuyu kama wakipenda waje Tz sii kama wakimbizi ila kama Eastafricans- na Wachagga waende Kenya!

..waje baada ya kufukuzwa nyanza na western? na wachagga waende sehemu ipi kenya? ushawahi kuona konyagi ikiuzwa baa kenya?
 
Kwa wote wanaounga mkono hoja ya EAF, mimi nasema kuwa si katika mazingira ya sasa. Ni vema tuendelee kuishi kama wana kijiji kimoja huku kila mtu akiwa na mji wake kuliko kuvutana kuhamia wote kwenye mji mmoja mkubwa wakati hatuwezi kula pamoja. Mpaka hapo tutakapoweza kula pamoja, yaani wote kuwa na tabia zinazofanana ndipo tutaweza kuungana.

Ingawa ni kweli kuwa muungano una faida nyingi sana, vile vile tusisahahu kuwa muungano unaweza kuwa na hasara zaidi kama utaletwa kwa watu ambao ama hawautaki au hawakuwa tayari kwa muungano huo. Nchi kama za Soviet Union, na nchi nyingi za Balkan zilikuwa ni miungano ambayo wananchi wake hawakuwa tayari na matokeo yake miungano hiyo haikuwaletea maendeleo yoyote bali balaa zaidi. Tukifanya papala na EAF tutaishia kuwa "Experiment" nyingine itakayowapa wataalamu wa "Social Sciences" duniani kote topic nyingine ya kuchambua.
 
Dar sii Lam, Kichuguu

I am optimist- ktk EAF kwa vile Soviet Union na Balkans hawajafanikiwa ndo tusite? Hapana haya mazingira tofauti! EAF na EU ni tofauti sana hata kiuchumi!

We do it and perfect as we move on!

Bado jibu sijapata -tusubiri hadi lini? sasa ni 45 years! Naona tumepoteza mda mwingi!

Tuwe optimistic- hali ya Kenya isiturudishe nyuma!

In total tuko watu 120 m- this is a large and significant population hata tu for the internal market!
 

Kushirikiana kiuchumi inawezekana hata bila ya EAF; hilo ni jambo zuri. EAF ina maana ya kubwa zaidi ya ushirikiano wa kiuchumi. Matatizo ya kikabila yanayojitokeza Kenya na yale yaliyomo Uganda, Rwanda, na Burundi ni sumu kubwa sana ya Muungano wa EAF. Delay it know and smile forever rather than rushing it now and cry forever.
 
Bado jibu sijapata -tusubiri hadi lini? sasa ni 45 years! Naona tumepoteza mda mwingi!

..unaongea as if it's a marriage we are talking about!and we are getting late having a family!

..mzalendo,i'm afraid we don't need to!really!

Tuwe optimistic- hali ya Kenya isiturudishe nyuma!

..issues za kenya,are warning shots,hasa kwa hiki kizazi cha voda fasta,kwamba mambo magumu na makubwa hayahitaji haraka!

..it's a good lesson!and i hope it's lesson learnt!
 
Fighting spreads in western Kenya



The fighting in Naivasha has
forced more people to flee their homes







People in the Kenyan town of Nakuru have been fleeing with
whatever they can carry after homes were burned to the
ground in two days of tribal violence.






More than 600 people have been killed countrywide in the
unrest triggered by December's disputed presidential election.






Rival gangs of young men armed with machetes, metal bars
and bows and arrows are stalking parts of the Rift Valley area.






Some 250,000 people have been driven from their homes
since the disputed election.






Former UN head Kofi Annan visited the Nakuru area on
Saturday and condemned the "gross and systematic
abuses of human rights" in Kenya.






Some Nakuru residents have sought refuge in Nairobi, where
they are reliant on food handouts from the World Food Programme.






A young boy collects grain that fell off a World Food
Programme truck. There are fears Kenya's ethnic
violence could escalate into a humanitarian disaster.

Slowly but surely Kenya is no more ... ..................Zimbabwe or Somalian style.
 
How long should this go before the powers that be could seriously intervene? Can Raila and Kibaki get out of their mansions and hotels and tell their supporters to stop the madness in the streets?If the so called East African Community cannot have powers to reverse the trends in Kenya, should it be there in the first place? What about the AU? So, we are waiting for the mzungu to come? There are just too many questions than answers, stupid us!
 
EAC walituma observers waliporudi Arusha waliahidi kutoa tamko lakini baada ya kupewa peremende na mabwana zao wakabana.

EAC hawana ubavu kabisa ndio sababu wengi wetu tuna mashaka na hawa viongozi wanaoangalia matumbo yao.
 
EAC walituma observers waliporudi Arusha waliahidi kutoa tamko lakini baada ya kupewa peremende na mabwana zao wakabana.

EAC hawana ubavu kabisa ndio sababu wengi wetu tuna mashaka na hawa viongozi wanaoangalia matumbo yao.

Dua

EA walitoa ripoti yao kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki!
 
Kama una link naomba maana nilifuatilia kwa muda lakini sikufanikiwa. Thanks for that information.

Hapana, MzalendoHalisi hapo hujasema ukweli. Waangalizi wa uchaguzi toka EAC ripoti yao haina msimamo wowote wa maana kuhusu uchaguzi uliofanyika Kenya. Kwa ufupi ni kuwa wamejiumauma tu bila msimamo unaoeleweka. It is just a worst of peoples' money.

Kitila:
Sio Kibaki wala Raila mwenye uwezo tena wa kuwaambia watu kitu wakakisikiliza, kwani sio swala la uchaguzi tena sasa.

Sana sana linaloweza kufanyika sasa ni kwa kutangazwa hali ya hatari na kuwekwa curfew sehemu zote zilizo na matatizo. Na wakati huo huo, wanasiasa wakubali paundwe serikali ya mpito wakati uchaguzi mwingine ukisubiriwa. Watakaogombea urais waweke wazi msimamo wao wa kushughulikia matatizo haya ya kikabila na too much inequality katika jamii ya wakenya.

Sadly enough, ukiangalia mienendo na vitendo vya watawala wetu sasa hivi hapa Tanzania, vina dalili zote zinazotupeleka katika hali ya mfarakano kama hii ya Kenya. Ufisadi wao huu ni lazima upingwe kwa nguvu zote tulizonazo.
 
Hapana, MzalendoHalisi hapo hujasema ukweli. Waangalizi wa uchaguzi toka EAC ripoti yao haina msimamo wowote wa maana kuhusu uchaguzi uliofanyika Kenya. Kwa ufupi ni kuwa wamejiumauma tu bila msimamo unaoeleweka. It is just a worst of peoples' money.

Kalamu,

EALA walitoa reporti by 10th Jan. nilisoma The Monitor au New Vision- na walisema ule uchaguzi haukwenda vizuri! Natafuta hii link niwapatie!
 
Dua

EA walitoa ripoti yao kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki!

Hata mimi nakumbuka kuiona report yao na ni kama walisema uchaguzi haukuwa huru na hasa sehemu ya kujumlisha kura kutoka vituoni.

Huenda ninachanganya na report nyingine lakini niliona hiyo ya EA.
 

..an intelligent insight into an issue!
 

..solution ni kumbana kibaki na serikali yake ku-act responsibly na kumtaka afunge kamba vijana wake wa kazi!

..odinga hana uwezo kwani hana dola! hivi sasa the issue is past politics of elections. it's about tribalism!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…