Mtu wa Pwani si useme tu hayo mengineo ni yepi? Mazingaombwe ya CCM ama?
look like Kibaki will be back in the statehouse.
I am sure Kibaki will win this elction and is what I pray for.
Mungu Mbariki Kibaki
look like Kibaki will be back in the statehouse.
kwanini unafikiri hivyo? Uchaguzi ni tight sana,lakini kwa mwono wangu iwapo matokeo yanayotoka ni random basi Raila atashinda. Kumbuka matokeo mengi yanatoka Nairobi na Central kwa sasa kwa sababu ya mawasiliano ya haraka. Hivyo ninaamini bado ni tight race. Hata hivyo napata wasiwasi na Bunge litakavyokuwa maanainaonesha ODM watakuwa na majority. Ingekuwa tamu kama unakuwa na Rais Kibaki halafu hana majority bungeni. Au Rais Raila halafu hana Bunge upande wake.
tufuatilie
I am sure Kibaki will win this elction and is what I pray for.
Mungu Mbariki Kibaki
Just heard from the BBC Radio Saitoti out
Zitto,
Ukienda hapa http://politics.nationmedia.com/
Panaonyesha matokeo yanatoka mikoa mitatu so far, Nyanza, Rift Valley na Central. Sijui mgawanyiko wa Nairobi ukoje, lakini wapiga kura wa Nairobi ni wachache sana. Tuombe Mungu Central kuwe na wapiga kura wachache waliojitokeza, lakini kama wakiwa wametoka kwa wingi kama nilivyosikia BBC, Central inaweza kumbeba sana Kibaki. Sijui influence ya Raila kwenye ya Coast na Eastern.
Lakini tuvute subira mpaka dakika ya mwisho tuone, japo nina matumaini makubwa sana na Raila. Nitasikitika sana iwapo Raila atasikitika.
An exit poll by the Institute for Education in Democracy, a respected non-governmental organisation, gave the president 50.3 percent versus 40.7 for Odinga. But its figures were based on just 311 polling stations of a total of 27,000.
The unofficial results by the TV channels were compiled from tallies at counting centres. The latest, from KTN at 11 a.m. (8 a.m. British time), gave Odinga 1,370,938 votes to 916,804 for Kibaki.
Zitto,
Ukienda hapa http://politics.nationmedia.com/
Panaonyesha matokeo yanatoka mikoa mitatu so far, Nyanza, Rift Valley na Central. Sijui mgawanyiko wa Nairobi ukoje, lakini wapiga kura wa Nairobi ni wachache sana. Tuombe Mungu Central kuwe na wapiga kura wachache waliojitokeza, lakini kama wakiwa wametoka kwa wingi kama nilivyosikia BBC, Central inaweza kumbeba sana Kibaki. Sijui influence ya Raila kwenye ya Coast na Eastern.
Lakini tuvute subira mpaka dakika ya mwisho tuone, japo nina matumaini makubwa sana na Raila. Nitasikitika sana iwapo Raila atasikitika.
Matokeo ya North Eastern yapoje? Wanaweza kuwa decisive hawa wasomali