Fujo na mauaji yanayoendelea RSA ni ushahidi tosha kwamba ubaguzi uko katika damu ya kila mzawa wa huko.
Inashangaza na kutia uchungu sana kuona watu ambao wamesaidiwa na Africa nzima ili wapate uhuru wamegeuka wanyama.
Hivyo nawaomba Jukwaa la AZAKI litoe tamko rasmi kama walivyotoa wenzetu wa nchi nyingine.
Inashangaza na kutia uchungu sana kuona watu ambao wamesaidiwa na Africa nzima ili wapate uhuru wamegeuka wanyama.
Hivyo nawaomba Jukwaa la AZAKI litoe tamko rasmi kama walivyotoa wenzetu wa nchi nyingine.