Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,826
Kuna maamuzi mengine yanafanyika kwa haraka ili kumuokoa mgonjwaKubaki na wauguzi ni kwenye suala la kumuhudumia. Sio maamuzi ya kimatibabu.
Kuna maamuzi mengine yanafanyika kwa haraka ili kumuokoa mgonjwaKubaki na wauguzi ni kwenye suala la kumuhudumia. Sio maamuzi ya kimatibabu.
Sahihi, ni lazima uthibitisho huo uwepo. Lakini Operation ya kuondoa kizazi sio dharura.Kuna maamuzi mengine yanafanyika kwa haraka ili kumuokoa mgonjwa
Kuna maamuzi mengine yanafanyika kwa haraka ili kumuokoa mgonjwa
Hii ndio tunaita Ethical dillema. Unamtoa ndio uokoe uhai wake ila hajaridhia na hakuna ushahidi kuwa ingemletea hatari kwenye uhai wake. Ni ngumu kweli kweli.
Hii ndio tofauti ya fani ya upasuaji na fani za kungojea miongozo. Unajua kabisa, bila upasuaji hapa, huyu mgonjwa haponi, lakini fani za taralila wanaanza kupinga pinga.
Wamrudishie kizazi chake au wamekitupa?!Hospitali ya KCMC imeshitakiwa na mama moja ambaye anadaiwa kutolewa kizazi pasipo ridhaa yake halisi,mwanamke huyo anadai alifanyiwa upasuaji na kuondolewa kizazi kutokana na tatizo lililokuwa linamsumbua(halijawekwa wazi).
Kwa mujibu wa vyanzo vyangu mwanamke huyu anawakilishwa na wakili PETER KIBATALA,ambapo kesi hiyo inasikilizwa chini ya KIIMA.,na upande wa mshitakiwa ambaye ni KCMC bado hawajawekwa wazi.
Mwanamke huyo nadai hospitali ya KCMC kumlipa fidia ya TSH.800M.
Wakati kesi ikisomwa ,upande wa mshitakiwa waliweka ombi kwamba kesi hiyo isijadiriwe katia lugha ya kiswahili bali kingereza,lakini jaji KIIMA alitupilia mbali ombi hilo.
Vingine huwa vina vimelea vya saratani, ndio maana uondolewa.Wamrudishie kizazi chake au wamekitupa?!
Mambo ya afya hayahitaji siasa.Nadhani hao mabingwa wa upasuaji wana miongozo yao kwamba ikitokea umekutana na emergency kwenye procedure ambayo ni life threatening inawapa ruhusa ya kuondoa kumuokoa mgonjwa.
Hakuna kitu kama hicho, msije jitafutia matatzo bure hakuna ruhusa ya kutoa organ yoyote kwa mgonjwa bila ridhaa yakeNadhani hao mabingwa wa upasuaji wana miongozo yao kwamba ikitokea umekutana na emergency kwenye procedure ambayo ni life threatening inawapa ruhusa ya kuondoa kumuokoa mgonjwa.
Aisee kwamba hakujurishwa kabla hawajakitoa?Vingine huwa vina vimelea vya saratani, ndio maana uondolewa.
Kuna kitu nimejifunza hususani Kwa wazungu hasa kwenye mahakama zao usimfanyie mtu wema bila ridhaa yake, ni bora umwache afe au lolote limkute sababu akipata tu kupona anakushitaki na unamlipa fidia.Inawezekana katika kutolewa kizazi kumemsaidia kumaliza tatizo alilokuwa nalo. Changamoto inatokea kwa mgonjwa pale ambapo ametolewa kizazi na hana mtoto, hii inampelekea kuhisi labda hospitali haijamtendea haki, kumbe walikuwa wakipambana kuokoa uhai wake.
Na hii utokea pale mgonjwa anapokuwa na uvimbe kwenye uzazi, wakati mwingine umpelekea kuvuja damu mara kwa mara, na inawezekana katika uchunguzi ikaonekana tiba sahihi ni kutoa kizazi ili uvimbe usijirudie.
Ile kukubali au kutokukubali kwa mgonjwa kutolewa, inategemea na hali ya mgonjwa ilivyokuwa.
Binadamu ni kigeugeuKuna kitu nimejifunza hususani Kwa wazungu hasa kwenye mahakama zao usimfanyie mtu wema bila ridhaa yake, ni bora umwache afe au lolote limkute sababu akipata tu kupona anakushitaki na unamlipa fidia.
Just imagine kuna mtu alimsaidia mdada kwenye ajali kabla ya gari kuwaka moto yule dada alivyopona alimshtaki kuwa alikuwa na poor handling imemsababishia kupata tatizo la mguu na anataka kulipwa dollar laki nane! Wakati kama jamaa asingemuokoa yule dada alikuwa anakufa kwenye gari.Binadamu ni kigeugeu
Inawezekana labda lengo lilikuwa ni kusafishwa, lakini kutokana na mazingira ikaonekana kwa usalama wake zaidi labda nikukitoa; wakati huo labda mgonjwa yupo usingizini na hakuna mtu wa karibu eneo la tukio.Aisee kwamba hakujurishwa kabla hawajakitoa?
Watu wengine katika dunia, wanatumika kama case study, kwa wengine kujifunza na kutokurudia hayo makosa.Just imagine kuna mtu alimsaidia mdada kwenye ajali kabla ya gari kuwaka moto yule dada alivyopona alimshtaki kuwa alikuwa na poor handling imemsababishia kupata tatizo la mguu na anataka kulipwa dollar laki nane! Wakati kama jamaa asingemuokoa yule dada alikuwa anakufa kwenye gari.
Duh! Ndo anadai 800M.Utajiri wa chap😁Inawezekana labda lengo lilikuwa ni kusafishwa, lakini kutokana na mazingira ikaonekana kwa usalama wake zaidi labda nikukitoa; wakati huo labda mgonjwa yupo usingizini na hakuna mtu wa karibu eneo la tukio.
Wanasema, huruma sio maleziDuh! Ndo anadai 800M.Utajiri wa chap😁