Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,556
- 9,531
Natumaini mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu
Msinichoshe nisiwachoshe moja kwa moja
Kwenye maada kujadili hizi kazi ambazo mimi naziona kama zina laana fulani hivi
1.wavuvi
2.wachoma mkaa
3.wachana mbao
4.wachimba madini
huwezi kukuta wafanyakazi wa hizo kazi katoboa maisha
Msinichoshe nisiwachoshe moja kwa moja
Kwenye maada kujadili hizi kazi ambazo mimi naziona kama zina laana fulani hivi
1.wavuvi
2.wachoma mkaa
3.wachana mbao
4.wachimba madini
huwezi kukuta wafanyakazi wa hizo kazi katoboa maisha