Sasa jamaa anashindwa kumuhudumia dada kwa vitu vidogo vidogo tu hadi demu anaishia kulalamikaKwani ni mkewe? Kwenye tendo Raha si wanapata wote? Ingekuwa huyo mdada ni jobless, ningemwelewa, sasa pesa ya uyo mdada inaenda wapi Missy Gf
Malaya mwenyewe..swine weweeWakat wanatomb..ana mwanamke hasikii rahaa?? Acha umalaya kama unauza sema
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aende kwa mkewe huko kama hawezi kumuhudumia mwenzieYe mwanaume nan atampa kifuta jasho au unafikiri yeye hatoki jasho mbona nyie viumbe ni wabinafsi sana wachoyo mno???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona mademu wa kizungu hawana hizi tabia.Sasa jamaa anashindwa kumuhudumia dada kwa vitu vidogo vidogo tu hadi demu anaishia kulalamika
Hata kama anafanya kazi huduma za hapa na pale mwanaume zisikushinde
Ukiona haummudu tafuta pa kula bure asimchoshe dada wa watu
Wachukueni hao hao
Hivyo unakua unaishi na joka ?Mkuu wanajenga kwao sikuizi Bint akipata ajira anataka kupa badilisha kwao kama kwao mazingira mabovu anataka kujenga.
Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
Nawewe mkuu somesha ndugu zako, Wanawake kama huyo wako wanakuwa na Bahati ya kuolewa na mwanaume ambaye hatoki kwenye familia yenye njaa njaaMoney of woman(hela za wanawake)
Zinaliwa na ndugu zao wa kiume
Wanawake wengi ndio wanaingia kwa kujenga kwao na kuwasaidia watoto wa kaka zao
Nina mwanamke mmoja now ni muajiriwa IRC kawajengea kaka zake wawili nyumba na anasomesha watoto wa ndugu zake jumla watoto 5 alafu Ada ya mwanangu Mimi na yeye lazima anitafute nilipe na nikijikausha anakuandikia deni
Huyo Baba yako mke wake anafanya kazi au ni Mama wa Nyumbani?Mzee wangu aliniambia “pesa ya mwanamke haikuhusu”
Kuchezea kikoba, kuhonga vibenten na kutoa michango ya harusi kwa mashost zakeKwa hali kama hii kazi ya pesa ya mwanamke inakuwa kufanya nini sasa kwake?
Hawa wanawake wa kisiasa wanazaliwa automatic walemavu au?
View attachment 2908741
Hivi kwenye kuliwa uchi, mwanamke anaumia?hali ni tete
bibie hapo anaona analiwa uchi bure bure bila kupewa pesa ya uchakavu (kuhudumiwa)
hali hiyo inamuuma sana
mapenzi kwa ujumla ni umalaya uliorasimishwa, toa pesa ya uchakavu upate penzi
😃 😃 😂 sijui kwa kweliHivi kwenye kuliwa uchi, mwanamke anaumia?
Ukweli ni kwamba, wanatumiana., wana chakazana.😃 😃 😂 sijui kwa kweli
ila wanadai, wanatumika, na inabidi ulipie uchakavu kwa vile unamtumia
Kwa hali kama hii kazi ya pesa ya mwanamke inakuwa kufanya nini sasa kwake?
Hawa wanawake wa kisiasa wanazaliwa automatic walemavu au?
View attachment 2908741
Achana na malaya kabisa.Mkuu uongo siyo kweli kauli yako wanawake malaya wana jificha kwenye kauli hii yako
Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
Mpe kadri ya uwezo wako.Nakazia hapa...
hata ukimpa laki moja kwa mwezi siyo mbaya.
Hamna kiumbe mbinafsi kama mwanamke na ndio maana kuna baadhi ya watu wanapenda kuoa wamama wa nyumbani. Hapo utakuta ana kazi kurudi saa mbili usiku kutoka saa kumi na mbili asubuhi, akiguswa usiku anasema amechoka, hela yake haionekani.