Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,598
- Thread starter
- #21
Tupe jibu sahihi sasaMfatilie vizuri mtoa post,yaani post zake zote zimejaa ushubwada,hivi ni swali la kutuuliza hilo...
Tupe jibu sahihi sasaMfatilie vizuri mtoa post,yaani post zake zote zimejaa ushubwada,hivi ni swali la kutuuliza hilo...
Kazi ya mwanaume itakuwa ni ipi?
Ni swali sahihi, likijibiwa kwa ufasaha litawasaidia wengiAlijua anapost jf usiku wa manane
Hapo ndipo ujue, mwanaume amebebeshwa mzigo mzito sana; bahati nzuri mbinguni hatuendi na maliKukuuliza ukifa utamuachia/utawaachia nini?
Ni sehemu pia ya kujifunza ili utakapoingia kwenye ndoa, ata mke akija saa nane usiku umpongezeSina mke mie.....wacha nione watakavyo jibu
1. Mke kutii: ikiwa wewe ni mke, inatakiwa kusikia sauti ya mume wake hata kama anakipato cha chini au anamapungufu fulani, au ni mwenye dhambi, Unapaswa umtii na ujishushe kwasababu hayo ndiyo maagizo ya Mungu.Ebu tuwekee hayo mazingatio kwa faida ya wengi
Inawezekana ikawa ni mojawapo ya majukumu;mengine ni yapi?Kugegedwa
Wakikuuliza unafanya kazi gani unajibu...mbona mambo sio magumu namna hiyo
Kule umemuambia anywe maji alale alieee kesho au kesho kutwa arudi kwenye mjadala..Ungeanza kwa kutueleza kazi/majukumu aliyokua anafanya mkeo ingependeza sana.
Je mwanaume kuachiwa watoto, kuosha vyombo, kudeki nyumba n.k ni sehemu ya upendo?1. Mke kutii: ikiwa wewe ni mke, inatakiwa kusikia sauti ya mume wake hata kama anakipato cha chini au anamapungufu fulani, au ni mwenye dhambi, Unapaswa umtii na ujishushe kwasababu hayo ndiyo maagizo ya Mungu.
2. Mwanaume kupenda: ukimpenda mtu unamuwaza, unamfkiria, unamtendea mazuri na mema, unafanya mambo Kwa ajili yake unamjali, unampa dhamani, Unampa anachostaili, unamsikiliza, na kuheshmu, huo ndo Upendo.
ππππ Tukatae ndoa sio.?Tatizo, ongezeko la watu kuwa na misongo ya mawazo inaongezeka; we jaribu kutembea huko mitaani utaona idadi ya watu wanaotikisa midomo inaongezeka. watu wanakuwa wakali wakali, ukifuatilia chanzo ni ndoa
Itakuwa mada inamgusaKule umemuambia anywe maji alale alieee kesho au kesho kutwa arudi kwenye mjadala..
Hapa napo unamaana mbavu aseme majukumu ya mke wake kwanza tuone anasaidiwaje swali lake.
Bado naendelea kufuatilia kwa ukaribu hizi hoja..
Je mwanaume kuachiwa watoto, kuosha vyombo, kudeki nyumba n.k ni sehemu ya upendo?
ππππ Tukatae ndoa sio.?
Wanaume wengine hawana sauti; wao ndio wanawatii wake zaoπππππ€π€, Kazi kama hzo ww ndo unamwekeleza Mwanamke kinachofata Sasa n kutii kuzifanya.
Kuna sisi ni wazee wa sheria na kunyoosha...Inatakiwa kabla ya kuingia kwenye ndoa; tujue kwanza majukumu ya kila mmoja; bila kufanya hivyo, ndio haya yanayotokea huku duniani; mzee yuko kwenye ndoa, lakini kiuhalisia anakuwa hana tofauti na yule aliye singo.
Ndoa zina mambo mengi sana mkuu, kwa nje mtu anaweza kuigiza ana furaha ila kiuhalisia hana furahaKuna sisi ni wazee wa sheria na kunyoosha...
An aamue yeye ashabikie yanga au ahame..πππππππ
Wanaume wengine hawana sauti; wao ndio wanawatii wake zao
Ndoa n Taasisi,, Sasa mwanaume kama unatoa maelekezo hayafatwi(hamn utii) au ww Mwanaume humjali mkeo unajali nnje(hamna upendo) kipi kitafata hapo. Ndo hayo msongo wa mawazo
Na kuajiriwa je?Kazi zote za nyumbani ni za mwanamke