Kazi ya Kikwete ni kuhudhuria kila msiba?

Humu JF kuna watu wazima wanaongea ujinga mtumpu. This thread is one of those that clearly show this fact. Rais ana network kubwa sana ya watu anaowafahamu na kisiasa na ki binadamu anawajibu ambao anautekeleza vizuri tuu. Nina uhakika haendi kwneye misiba zaidi ya 2 kwa mwezi kwaahiyo hii mada ni kama kwato za fisi, ujinga mtupu.. There is no way that him taking that time affects his performance as President. Nikama watu wamwabie Obama asicheze basketball, lol.. Acheni ujinga tumieni forum kujadili vitu vyenye maslahi au pelekeni udaku kwenye jokes/utani huko. Watu wazima hovyo kama mnakunywa piwa..

Hujui kila anachotumia Rais kinatokana na kodi zetu hata muda lazima tuuhoji hata roll ya toilet paper ni kodi yangu haiingii akilini anipotezee muda ebo

Kuhusu Obama kucheza Basket ball unajua leisure inakuwepo wakati mambo yako yanakwenda vizuri sasa wewe kwako unga hakuna eti unakwenda kucheza basketball kwa vile jirani anacheza hiyo ni akili au matope
 
Hujui kila anachotumia Rais kinatokana na kodi zetu hata muda lazima tuuhoji hata roll ya toilet paper ni kodi yangu haiingii akilini anipotezee muda ebo

Kuhusu Obama kucheza Basket ball unajua leisure inakuwepo wakati mambo yako yanakwenda vizuri sasa wewe kwako unga hakuna eti unakwenda kucheza basketball kwa vile jirani anacheza hiyo ni akili au matope

.......This is too much, kulipa kodi imekuwa nongwa hadi rais ashindwe kushirikiana na watu. Wewe hiyo pesa unayoipata inatoka wapi? Mbona wewe unapata muda wa kushirikiana na watu!!
 
.......This is too much, kulipa kodi imekuwa nongwa hadi rais ashindwe kushirikiana na watu. Wewe hiyo pesa unayoipata inatoka wapi? Mbona wewe unapata muda wa kushirikiana na watu!!

Mimi hata nikishinda bar nilale msibani siku saba hakuna wa kuniuliza sina dhamana na mtu ila yeye ana dhamana yetu lazima autumie muda vizuri
 
.......This is too much, kulipa kodi imekuwa nongwa hadi rais ashindwe kushirikiana na watu. Wewe hiyo pesa unayoipata inatoka wapi? Mbona wewe unapata muda wa kushirikiana na watu!!

Hatukatai kushirikiana na watu, tunachokataa ni excess.

Rais kwenda msibani Dar haikutosha mpaka akaenda na huko mkoani?

Mara nyingine rais kujipeleka peleka sehemu hizi, mbali na kutotumia muda wake vizuri, anaweza hata kuharibu msiba wenyewe, watu tushazoea tunaomboleza freely mara rais anakuja sehemu inajaa ma shushushu, utaratibu mzima badala ya kuandaliwa na wafiwa kwa heshima ya marehemu unachukuliwa na Ikulu, inakuwa tabu tupu.

Rais ana uzito, ajue kuutumia na ajue kuji restrain.Kama alitaka kuhudhuria kila msiba asingegombea public office.Ushasikia mtu analalamika Mengi au Dewji anahudhuria misiba mingi sana?
 
yaani huyu anaona aibu tu kwenda ngomani lakini ingekuwa amri yake aaaah ..ngomanai kama kawaaa

Nani kakwambia haendi ngomani? Mimi siku moja nimepita Bagamoyo siku ya jumamosi pale nyumbani kwao kulikuwa na ngoma ya kumtoa mtoto wa nduguye na yeye alikuwepo kwani barabara ilifungwa!!
 
Mie nadhani mkulu inabidi adelagete,alipotoa heshima za mwisho Dar,nadhani ilikuwa tosha kabisa,lakini wapi mpaka kuzika Moshi.kweli rais tunae.
 
Hii thread inanikumbusha ile thread ya Kikwete kumpa dogo pipi. Watu walimshikia bango utadhani kauza nchi kisa kumpa bwana mdogo peremende! Yaani ni kosoa kosoa tu ili mradi wamekosoa.
 
rais hakuwa na sababu ya kwenda kuzika same kwa huyu afisa usalama aliyefariki..kwani kitendo cha rais na mkewe kufika pale mikocheni nyumbani siku ya kuaga mwili wa marehemu...na kwakuwa inajulikana rais ni mtu mwenye mamlaka na kazi nyingi....kile kitendo pekee kilitosha kuonesha upendo wake kwa maafisa wake wanaomlinda na kumsaidia kazi......lakini bado tena amesafiri na kutumia siku nyingine nzima kwenda kuzika same......urais ni cheo kikuu sana ....ingetosha kumtuma mkuu wa mkoa au waziri wa utawala bora ..amuwakilishe kama kweli aliona ...inafaa.....

the president wants to win peoples emmotions at all time....that may not be possibe!!

Huo mmoja. Msiba mwingine?
 
Mie nadhani mkulu inabidi adelagete,alipotoa heshima za mwisho Dar,nadhani ilikuwa tosha kabisa,lakini wapi mpaka kuzika Moshi.kweli rais tunae.

Inabidi apelekewe copy ya hiki kichapo.

419PRW6T2YL._SL500_AA240_.jpg
 
Jamani wakati mwingine tusiwe tunatoa lawama pekee bila kuangalia kwa undani zaidi. Ni kweli JK ni mzuri kwa kuhudhuria misiba lakini katika hii story iliyoko hapa ni msiba wa msaidizi wake wa karibu. Yaani kweli hasingehudhuria huu msiba angeoneka vipi. Msaidi wako wa karibu ushindwe kuhudhuria mazishi yake, mmmh jamani........mie nimewahi kufanya kazi uko ndani najua well jinsi viongozi hawa wanapokuwa connected na wasaidizi wao.Wanakuwa kama ndugu wa karibu, sometimes tuache hizi lawama bila kuangalia closeness ya JK na mhusika.
 
Criticising Kikwete on this is overdoing it, period. Critising him for giving the youngster some candy was also overdoing it. Criticising him for going unprepared and being icoherent at the WEF in Davos was fair game.
 
.......Kuna ajabu gani rais kwenda msibani? Isitoshe mtu aliyefariki alikuwa ni mtumishi wa Ikulu hivyo rais yupo sawa kabisa kuhudhuria msiba wake.

...hatuna ugomvi kwa yeye kwenda msibani ...eleweni hapa .,ugomvi wetu ni kutumia kwake muda vibaya ....kama aliaga dar..hiyo ilitosha kabisa kabisa kwa uzito wa majukumu yake!!!...hangekuwa na sababu tena ya kusafiri kwenda same....

lingine ni kuwa ...hatuwezi kulinganisha rais wetu na wa nchi tajiri kama marekani ...yeye lazima tumpime na viongozi wengine wa nchi maskini kama bingu wa mutharika,kagame,banda,guebuza etc...

mwezi huu ulioisha pekee ...tunajuwa rais amekuwa na majukumu mengi ya kule swiss ,na ethiopia....wiki mbili za mwezi wa kwanza hakuwa ofisini,tunajuwa amerudi ,wiki iliyopita ilikuwa ni ziara za miaka ....33 ya chama,baada ya hapo kuna ishu muhimu ya kwenda kilosa[wakati mafuriko yanatokea alikuwa na ziara za kikazi]......sasa katika hali ya kawaida nani anabisha kuwa ....KWENYE MEZA YAKE OFISINI HAPATAKUWA NA PENDING FILES ZIMEJAA!!!.....tujuwe kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi na hali ya mapato ya serilali ni tata...nadhani ina maanisha kuwa hatapata muda wa kutosha ofisini kwa hiyo muda kidogo unaopatikana ni lazima wanaopanga ratiba zake waupangilie vema..unless yeye anaingilia kazi zao!!
 
Hatukatai kushirikiana na watu, tunachokataa ni excess.

Rais kwenda msibani Dar haikutosha mpaka akaenda na huko mkoani?

Mara nyingine rais kujipeleka peleka sehemu hizi, mbali na kutotumia muda wake vizuri, anaweza hata kuharibu msiba wenyewe, watu tushazoea tunaomboleza freely mara rais anakuja sehemu inajaa ma shushushu, utaratibu mzima badala ya kuandaliwa na wafiwa kwa heshima ya marehemu unachukuliwa na Ikulu, inakuwa tabu tupu.

Rais ana uzito, ajue kuutumia na ajue kuji restrain.Kama alitaka kuhudhuria kila msiba asingegombea public office.Ushasikia mtu analalamika Mengi au Dewji anahudhuria misiba mingi sana?

Mbali ya kutibua ratiba za wenyeji za misiba pia kuji expose mara kwa mara ni hatari sana hiyo inaligharimu taifa kumlinda kwa unnecessary issues kwa sababu akienda haendi na begi tu lake ni halaiki ya watu nyuma yake
 
Kikwete ni Kikwete. akipunguza kuhudhuria misiba basi atasafiri sana la ataenda kubembea au kutoa maagizo mazito. sasa bora lipi? Kuishi Tanzania bora muda mwingine uwaze wewe na familia yako haya mambo ya kuwazia nchi inakwendaje na raisi yukoje anafanya nini ni stress.
 
Halafu mbona wanausalama wamesimama tu sioni kama wameshika silaha yoyote ikitokea ya kutokea jamn??
 
Halafu mbona wanausalama wamesimama tu sioni kama wameshika silaha yoyote ikitokea ya kutokea jamn??

Ndug yangu MR wewe ulitaka abebe machine gun hao ndio walinzi wa mkulu huwezi kuona walichobeba wewe anzisha valangati tu ndipo utakapoona hizo silaha
 
Tunataka Rais wetu awe bize na mambo ya maendeleo..Nchi yetu pamoja na utajili wote wa rasilimali bado ni masikini wa kutupwa!

Pengine akipunguza mitoko/mazishini atapata fursa ya kufikiri na kutafakuli sababu inayosababisha Nchi yetu kuwa Masikini.
MKUU Saitama_kein Umezungumza Point kuna mambo yaliyo Makuu Rais wetu kuyafanya sio kila ikitokea Msiba yupo utafikiri Rais anafuata kitu huko Misibani?Angeweza hata kumtuma Katibu wake ahudhurie sio yeye Rais kila Msiba yupo Ehhh basi hana kazi ya kufanya Rais wetu Mkuu wa Nchi? Nchi imejaa Ufisadi,Rushwa ,wizi wa Mali ya Umma Umasikini na mambo Mabaya ya kila aina Rais wetu badala ya kuyapa kipa umbele Anahudhuria Rais wetu Mambo ya maziko kazi kweli tutaendelea jamani?ama kweli (Miafrika Bwana ndivyo ilivyo)
 
,,,,..kama msiba wa mheshimiwa nyaulawa ..alifanya vema ...alienda kuaga kanisani..halafu kuzika mbeya hakwenda kila mtu alimuelewa....!..thats what we want..!!
[!

Kwenye msiba huu aliibuka... ikabidi Mchungaji aingilie kati kumpatia kiti ila yeye akakataa na kukaa sehemu ya kawaida...

Simlaumu kwani yeye pia ni binadamu... Kwa Hayati Ng'itu pia alifanya hivyo...
 
Criticising Kikwete on this is overdoing it, period. Critising him for giving the youngster some candy was also overdoing it. Criticising him for going unprepared and being icoherent at the WEF in Davos was fair game.

Ooooh Jamani Julius...yaaani nimekumiss karibuuuu...
 
Back
Top Bottom