Chimulenge
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 218
- 147
Habari JF
Narudi tena kwenu baada ya kupata wadada wa awamu ya kwanza kazi ya kuserve, Tunaendelea kupeana liziki nahitaji wadada wawili tena wa kutafuta oda za chakula hapa Dodoma twn na kusambaza. Ni kazi ambayo ina target yake angalau kwa siku upate angalau oda 30.
Mshahara ni 220000 kwa mwezi ila ukiweza kuachieve hiyo target kwa mwezi unapata bonus.
Muda wa kufika kazini ni saa sita mchana
Kutoka jioni
Kwa aliye tayari tafadhari tuwasiliane 0622723082.
Narudi tena kwenu baada ya kupata wadada wa awamu ya kwanza kazi ya kuserve, Tunaendelea kupeana liziki nahitaji wadada wawili tena wa kutafuta oda za chakula hapa Dodoma twn na kusambaza. Ni kazi ambayo ina target yake angalau kwa siku upate angalau oda 30.
Mshahara ni 220000 kwa mwezi ila ukiweza kuachieve hiyo target kwa mwezi unapata bonus.
Muda wa kufika kazini ni saa sita mchana
Kutoka jioni
Kwa aliye tayari tafadhari tuwasiliane 0622723082.