Kazi Sina, Nazidi Kuchelewa Kuoa...

Kazi Sina, Nazidi Kuchelewa Kuoa...

jacobian

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
417
Reaction score
158
Tangu mwaka 2011 mpaka today, job sina, umri unaenda, kuoa nashindwa, nimegraduate, nimefanya interview kibaao, but no job, jaman?
 
Tangu mwaka 2011 mpaka today, job sina, umri unaenda, kuoa nashindwa, nimegraduate, nimefanya interview kibaao, but no job, jaman?

Kila jambo lina wakati wake...ulipata wakati wa kugraduate subiri wakati wa kazi aloupanga Mungu ufike na vivyo vivyo wakati wa ndoa!! Sana sana kazana na Mungu zaidi... all the best!!
 
Kila jambo lina wakati wake...ulipata wakati wa kugraduate subiri wakati wa kazi aloupanga Mungu ufike na vivyo vivyo wakati wa ndoa!! Sana sana kazana na Mungu zaidi... all the best!!
aksante kwa kunitia nguvu!
 
Mbona 2011 sio mbali mkuu? Ni miaka miwili tu umekaa mtaani, usikate tamaa kazi utapata tu ila at least for the time being piga hata mishe ndogo ndogo za ujasiriamali, si haba unaweza ukatoka na ukavuta chombo fasta
 
Tangu mwaka 2011 mpaka today, job sina, umri unaenda, kuoa nashindwa, nimegraduate, nimefanya interview kibaao, but no job, jaman?

Shule nyingi za private zinahitaji walimu sana, jaribu kuomba kufundisha kile ulichosomea kwa kuanzia badala ya kupoteza resource uliyonaya maana wewe tayari ni resourceful. Baada ya hapo unaweza kuanza mipango ya kuoa, tafuta mchumba kama bado lkn kama yupo tayari basi hongera. lkn pia kama tayari unaye mchumba ambaye tayari ana kazi mnaweza kukubaliana kuoana hata kabla wewe hujapata kazi kwani unapoingia kwenye ndoa wakati mwingine ndio mwanzo wa maendeleo yenu kwa sababu mnapokuwa wawili si sawa na unapokuwa peke yako. Ukichunguza sana utaweza kugundua kuwa wanaume wengi wameanza kuwa na maendeleo kimaisha mara tu wanapoingia kwenye ndoa. Usiogope, muombe Mungu atakusaidia.
 
Shule nyingi za private zinahitaji walimu sana, jaribu kuomba kufundisha kile ulichosomea kwa kuanzia badala ya kupoteza resource uliyonaya maana wewe tayari ni resourceful. Baada ya hapo unaweza kuanza mipango ya kuoa, tafuta mchumba kama bado lkn kama yupo tayari basi hongera. lkn pia kama tayari unaye mchumba ambaye tayari ana kazi mnaweza kukubaliana kuoana hata kabla wewe hujapata kazi kwani unapoingia kwenye ndoa wakati mwingine ndio mwanzo wa maendeleo yenu kwa sababu mnapokuwa wawili si sawa na unapokuwa peke yako. Ukichunguza sana utaweza kugundua kuwa wanaume wengi wameanza kuwa na maendeleo kimaisha mara tu wanapoingia kwenye ndoa. Usiogope, muombe Mungu atakusaidia.

Hivi tausi unadhan km jina lako ndivyo ndege wengine walivyo wazuri? 1..Sio wote wenye uwezo wa kufundisha mm sina kazi na nina elimu nzuri tuu lkn kufundisha siwez..
2..hivi ndoa ni kuoana tuu?? Kwa wanawake wa siku hizi huna kaz hiyo nyumba amani inatoka wapi? Kuna mahari posa na makorokoro kibao ambavyo mwanaume ndo atatoa ss kumwingiza chaka mwenzio ndo nn? Ukute hapo yuko kwa mshua still na demu hvy hvy
 
man unaweza ukafikiria kujiajiri na ukafanikiwa tuuu ukisubiri sana kuajiriwa utashangaa unazeeka mkubwa.....badili mtazamo watu mbona wamejiajiri na wanafanya mambo...funguka achana na mawazo mgando utakesha
 
kwani ww unataka kazi ili uoe ama kujipanga kimaisha kabla ya kuoa?
 
These are the paths, God is good you will succeed and don't give up, May god bless you
 
Kuna wenzio wana kazi na wana maisha mazuri kuoa kwao mtihanii
 
pole mkuu! mambo ka haya yanachangia sana msongo wa mawazo maana unajiona ka huna bahati! ila uckate tamaa ka vp omba taf kwa class mates ambao wamejishkza upate sehem hata ya kupata uzoef hata bila malipo kwa miez mitatu hadi sita ,mana hao ndo suluhisho baada ya misoto mingi!!
 
Kazi utapata inshallah rafiki yangu lakini ndoa ni wito & ni mipango ya Mungu so hatuoi eti kwa sababu tu ni lazima tuoe or kwa sababu muda unakwenda. Utaoa kwa muda ambao Maulana kapanga hujachelewa & hutachelewa.
 
Hivi tausi unadhan km jina lako ndivyo ndege wengine walivyo wazuri? 1..Sio wote wenye uwezo wa kufundisha mm sina kazi na nina elimu nzuri tuu lkn kufundisha siwez..
2..hivi ndoa ni kuoana tuu?? Kwa wanawake wa siku hizi huna kaz hiyo nyumba amani inatoka wapi? Kuna mahari posa na makorokoro kibao ambavyo mwanaume ndo atatoa ss kumwingiza chaka mwenzio ndo nn? Ukute hapo yuko kwa mshua still na demu hvy hvy
umeongea vitu vya msingi sana mkuu we unadhani ni msichana gani atakayemkubali mwanaume asiye na kazi? kwa kweli ni ngumu sana kwa dunia ya sasa hivi coz mara tu unapomuapproch msichana swali la kwanza ni unafanya kazi gani na wapi?
 
Poleh sana jmn,funga na kusali japo kwa wiki,and volunteer hata sehemu,au omba internship
 
Kuna mashamba mengi ya kukodi waweza lima ili kupata kipato
 
Back
Top Bottom