Kweli Kikwete aliona mbali sana, maana makada wa CCM hatuli wala hatulali kwa raha, Tundu Lissu anatukosesha raha kabisa."Ni heri Kura za Urais mmpe Dr. Slaa, kuliko kumchagua Tundu Lissu kuwa Mbunge atatusumbu sana" JK wakati wa Kampeni za 2010 Jimboni kwa Tundu Lissu
mwambie kwanza aajiri dereva na ampe mkataba wa kazi kwa maana analipwa fedha kwa ajili hiyo, na huo umungu wake uanzie hapo, sio maneno tu, kuongea kila mtu anaweza!
Kwa jinsi anavyojibu maswali
kwenye bunge la katiba hakuna waziri yeyote wa ccm ambaye ana weredi
mkubwa kama Lisu.