Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Ivi Tundu Lisu na Prof Mark Mwandosya na bright kuliko mwenzake? Yani mwenye akili kuanzia za darasani, nje ya darasa na mwenye impact katika jamii?
 
Anastahili kuwa waziri wa wanawake, wajawazito na watoto

Mkuu nawe ni mjamzito hivyo unapenda kuwa na waziri bora atakaye simamia ujifungue salama? Usijali ukipelekwa hospitali yetu hii hapa chini utajifungua hata kabla ya muda
ImageUploadedByJamiiForums1394134812.297028.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Anastahili kuwa waziri wa wanawake, wajawazito na watoto

Bila hao wanawake Unaowadharau na kuona si kitu kwako ungalikuwapo????? ukumbuke ulitoka katika matumbo yao.uwe na adabu acha dharau.kwa ni wewe una uwezo wa kujenga hoja kama Huyo unayemdharau
TUNDU LISSU?? SHAME ON YOU
 
Kwa jinsi anavyojibu maswali kwenye bunge la katiba hakuna waziri yeyote wa ccm ambaye ana weredi mkubwa kama Lisu.

Umesema kweli bro. Utungaji wote wa Kanuni za Bunge la Katiba umemtegemea yeye. Kwa wale wanaopata bahati ya kusikiliza redioni mtakubali kuwa huyu kijana ni hazina ya Taifa.

Keep up Tundu Lissu.
 
Kwa jinsi anavyojibu maswali kwenye bunge la katiba hakuna waziri yeyote wa ccm ambaye ana weredi mkubwa kama Lisu.

UTAFITI UNAONYESHA kwamba HAKUJAWAHI KUTOKEA MWANASHERIA WA KIWANGO CHA LISSU KATIKA EAST AND CENTRAL AFRICA TANGU MUNGU ALIPOUMBA MBINGU NA ARDHI .
 
Kamvua nguo werema juu ya sheria ya awali haikua na kipengele cha replacement ya mjumbe wa kuteuliwa.Werema akainamisha kichwa

nakushukuru kwa kunikumbusha kwamba NDUGU WEREMA KUMBE NI MBUNGE WA KUTEULIWA kama MAKONDA .
 
Ila mule bungeni kuna majamaa viazi kweli kama yule Ole medeye amejitutumua kuuliza swali ambalo jibu lake limo ktk kitabu alichogawiwa ili asome.kumbe JK alikuwa sahihi kumpokonya uwaziri.

HUYO JAMAA ni MBURULA HADI AIBU ! ETI NAYE NI TEAM LOWASA !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom