mwanasaikologia
Member
- May 23, 2013
- 76
- 17
Tundu Lissu is very bright mind
..huyu ni mwanasheria nguli, na ameshiriki kuandika kanuni za uendeshaji wa bunge la katiba.
..kwa mtizamo wangu huyu alistahili kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bunge letu la katiba.
cc Pasco
Umetumia vigezo gan! mpaka ukasema hivyo? Lisu anajib kama nan! Kwanza jiulize hilo.
Acha kukurupuka
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Labda waziri wa wahuni na wapinga amani
Lissu tena?
Huyu si mlidai si kichwa tena baada ya kubwagwa na Msando?
..huyu ni mwanasheria nguli, na ameshiriki kuandika kanuni za uendeshaji wa bunge la katiba.
..kwa mtizamo wangu huyu alistahili kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bunge letu la katiba.
cc Pasco
Anastaholi kua waziri wakuongoza maandamano ya wapinga democrasia nyambafuu
Kuendesha kundi kubwa kama lile inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Lisu angewatimua watu nje.