Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

..huyu ni mwanasheria nguli, na ameshiriki kuandika kanuni za uendeshaji wa bunge la katiba.

..kwa mtizamo wangu huyu alistahili kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bunge letu la katiba.

cc Pasco

akiwa mwenyeketi anakua kama refa kwenye uwanja kuna madhara hapo utakosa mambo mengi hapo kama ninavyoumia kukosa pendo la Dr.Mvungi R.I.P uwezi kumweka messi awe refa kisa ni mchezaji mzuri mwache acheze uone magoli lissu habaki hapo hapo anafaa hata uwaziri haumfai labda u PM
 
Last edited by a moderator:
Kamvua nguo werema juu ya sheria ya awali haikua na kipengele cha replacement ya mjumbe wa kuteuliwa.Werema akainamisha kichwa

Siyo warema tu ata makinda na jopo lake akina pinda wote vichwa chini niliwaona vizuri
 
Mkuu nawe ni mjamzito hivyo unapenda kuwa na waziri bora atakaye simamia ujifungue salama? Usijali ukipelekwa hospitali yetu hii hapa chini utajifungua hata kabla ya muda
View attachment 143184


Sent from my iPad using JamiiForums

EEE BHANA ASANTE KWA PICHA ya WODI YA WAZAZI PALE KWETU TEMEKE , HUU UZI ULIKUWA CHUKUCHUKU SANA !
 
Ila mule bungeni kuna majamaa viazi kweli kama yule Ole medeye amejitutumua kuuliza swali ambalo jibu lake limo ktk kitabu alichogawiwa ili asome.kumbe JK alikuwa sahihi kumpokonya uwaziri.
yaani nilimuangalia yule mzee nikasema angekuwa baba yangu ningelia kwa uchungu ka aibika kaonekana hajui hata kilichompelekq pale.sijui watoto wake wako je? Pale ndo utaamini kuwa hata ukificha begi la pesa au sanduku nyumbani kwa mtu afu ukaweka ramani yote na maelekezo ya pale pesa au dhahabu zilipo katika kitabu afu ukampa mtu akisome nakuhakikishia hata miaka 10 ipite hamna hata cent au kipande cha dhahabu kitapotea na utamkuta mtu kalidhika na umaskini wako yaani sisi tunamatatizo
 
Nasikia lissu anataka kubadili jina aitwe Lissu Masawe.
 
Hapana chezea lissu ni professional wa ukweli

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Kwa jinsi anavyojibu maswali kwenye bunge la katiba hakuna waziri yeyote wa ccm ambaye ana weredi mkubwa kama Lisu.

watu wengine mnapenda vibaya, kwahiyo akijibu maswali ndo anafaa uwaziri...hovyo kabisa vichwani vingine.
 
UTAFITI UNAONYESHA kwamba HAKUJAWAHI KUTOKEA MWANASHERIA WA KIWANGO CHA LISSU KATIKA EAST AND CENTRAL AFRICA TANGU MUNGU ALIPOUMBA MBINGU NA ARDHI .

Kashinda kesi ngapi hapa Afrika Mashariki? Na ile ya Zitto ilifikia wapi vile wakili nani alimgaragaza juzi juzi?
 
Msando ndo kiboko yake

Hivi ile kesi imeisha? Kweli mbulula wako wengi humu JF! Hata hamjui maana halisi ya kile kilichotokea mahakamani. Kweli nimeamini kama unaona elimu ghali jaribu ujinga. Wakale walisema.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
wewe ndiyo mkurupukaji, mleta hoja anajua sababu ya yeye kumsifia, wewe kwa kukurupuka kwako bila vielelezo ndiyo mtambo
 
Ivi Tundu Lisu na Prof Mark Mwandosya na bright kuliko mwenzake? Yani mwenye akili kuanzia za darasani, nje ya darasa na mwenye impact katika jamii?

..tatizo la Prof.Mwandosya ni kwamba tangu aingie kwenye siasa basi akili zake katia maji.
 
..i dont think so.

..ukifuata kanuni na haki huwezi kuingia ktk migogoro na wabunge.

..Makinda na Ndugai huwa hawafuati kanuni pale wanapotimua wenzao.

Ila majembe kama yale hayatakiwi kukaa kwenye kiti cha spika, wanatakiwa wawe wachangiaji. utawapenda
 
Katika mchakato wa kupata katiba mpya, huwezi kumweka pembeni kamanda lissu, lisu ana deserve kwa nafasi yeyote ya kisheria katika taifa letu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom