Kwakweli hata mimi nimeshangaa sana, statement ya Katibu Mkuu jana,yeye kama mtendaji wa wizara kusema mkataba utavunjwa mwezi ujao then leo Mhe. Waziri anaikanusha na kutetea kuwa kule Msumbiji Rites wanafanya kazi nzuri sana kwanini isiwe Tz,imenifanya nikose majibu, maybe kuna tusilololijua hapa.
Kawambwa hana uwezo wa kuongoza wizara nyeti kama MIUNDOMBINU amewekwa pale makusudi ili kufanikisha miradi ya Bandali,Airport na barabara wilayani Bagamoyo muungwana anayotaka kuitekeleza wakati wa utawala wake;hata hivyo sidhani kama atafanikisha miradi hiyo kwani mradi mdogo wa barabara ya Bagamoyo mpaka Msata iliyo jimboni kwake imemshinda kusimamia huku contractors wakikomba fedha chungu nzima!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.