Kawambwa ana hisa TRL?

Magezi

JF-Expert Member
Oct 26, 2008
3,359
692
Mimi wadau nashindwa kuelewa huyu mhandisi kawambwa anayetetea wahindi wa TRL je ana hisa pale? au ni uoga tu wa kuiogopa IMF?

Mawaziri kama kawambwa hawawezi kuiendeleza Tanzania, natoa wito huyu bwana hastahili kupewa wizara ya maana kama hiyo.
 
Kwakweli hata mimi nimeshangaa sana, statement ya Katibu Mkuu jana,yeye kama mtendaji wa wizara kusema mkataba utavunjwa mwezi ujao then leo Mhe. Waziri anaikanusha na kutetea kuwa kule Msumbiji Rites wanafanya kazi nzuri sana kwanini isiwe Tz,imenifanya nikose majibu, maybe kuna tusilololijua hapa.
 
Kawambwa hana uwezo wa kuongoza wizara nyeti kama MIUNDOMBINU amewekwa pale makusudi ili kufanikisha miradi ya Bandali,Airport na barabara wilayani Bagamoyo muungwana anayotaka kuitekeleza wakati wa utawala wake;hata hivyo sidhani kama atafanikisha miradi hiyo kwani mradi mdogo wa barabara ya Bagamoyo mpaka Msata iliyo jimboni kwake imemshinda kusimamia huku contractors wakikomba fedha chungu nzima!!
 
Back
Top Bottom