wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,543
- 29,382
Kuna nyimbo inaitwa mwanambuzi.... meme
Kamlilia mamaee kamwambia kweaaa kwea mlima wa maweeeee[emoji23][emoji23]
Kuna nyimbo inaitwa mwanambuzi.... meme
Naomba lyrics za wimbo wa "Zaina"
Au audio kama mnayo.
Wimbo maarufu hapo Jeshini .
Siiiinge nyamaaa italalaaa siiingee aiyooomaaaamaaa singe nyama talala singe baba na mama singe aduiii kaua singe nyama italaaalaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Welldone mkuu Mgambo JKT, 835KJ tuliiva mkuu, CO Mtono huyu Co siku moja aliamua kuwa akisimama pale jioni aone station ya treni pale Gendagenda,kilichotokea kuanzia kesho yake sitaki hata kukielezea hapaNyiee hia kauli alikuwa anaipenda afande MATALYA mgambo KJ aiseee.. yani akisema ngurutu leo mmeharibu kazi muandae nguvu siku hiyo kombania inachafukaaa sio kwa lile dosoo.. Kuna siku tulitoka kupiga kwata mazoezi ya pass out sasa ilikuwa mida ya kula kuna platoon hawakurudisha silaha hamala wakaenda kuzikusanya chini ya mti wakila ndo warudishe ila wakaacha watu walinde Yesu wanguu sitaisahau ile siku nyie tulichakaaa unajua kuchakaaa kwanza tulitudi kombania mwendo wa bata waliitana maafande nyie tulipigwaa mpaka kuna captain flani akaingilia kati sitasahau ni siku niliyopanga kesho yake nitorokee.
Yule ni kichomii balaaaaMgambo JKT [emoji28][emoji28]op viwanda kombania C Coy Aisee nimemkumbuka Afande Kipele[emoji119]
Mamaa aminaa deleee amina delee deleee....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo mbele utataya nyukweeee
Ya kobolewee..
Mwaga nyuki
Ziiiiiiii.......
Haya weka chenjaaaaa
Ukimuona Zaina mwambie nipo depo...835 KJ kwa Wame pale😀😀ZAINA zainaa zainaaa...mtoto wa kabuku zainaaa lete rahaa zainaaa... zainaa zainaaa 😀 😀 😀
Ukimuona Zaina .. mwambie nipo depo Zaina ananipa shida ZainaUkimuona Zaina mwambie nipo depo...835 KJ kwa Wame pale[emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sana wallahAfande : Haya wagonjwa wa kudumu tuimbe ule wimbo wetu ....
Wagonjwa wa kudumu (mikono ikiwa kichwani) : Mungu saidia wagonjwa wote tufe....
Kwenda Cuba je?Piga sim na beba dunia ilitakiwa kijeshi ipigwe marufuku
Mwananbuzi meme kamlilia ***** kamwambia kwea kwea mlima unamawe kwea mwana kwea mwana, kwea mwanng kwea...... Daah Ili chenja nakumbuka makuyuni 839kj kuna private alikuwa anapenda kukaa Kati na kiti chake watu tunaiimba na kupiga ndoo kama ngoma mostly jumapiliKuna nyimbo inaitwa mwanambuzi.... meme
😀😀 wame?? Habari ya asubuhiii.Ukimuona Zaina mwambie nipo depo...835 KJ kwa Wame pale😀😀