Kauli zilizokufurahisha ukiwa JKT

Kauli zilizokufurahisha ukiwa JKT

sakwano

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
303
Reaction score
831
Moja kwa moja kwenye mada...kila nikikumbuka baadhi ya kauli zilizokuwa zikitumika najikuta nafurahia pekeengu ....je wewe mdau uliewahi kupitia haya mafunzo ya jkt..unakumbuka msemo upi?

Binafsi nakumbuka ule msemo .,wakti ulishaharibu kazi sasa unaambia na kamanda ufoleni mistari mitatu wakti huo ni wewe mmoja ...sasa utajigawa vipi ili ufoleni mistari mitatu na mtu we ni mmja.

Kwa wadau nadhani wanaelewa hizi vitu
 
Moja kwa moja kwenye mada...kila nikikumbuka baadhi ya kauli zilizokuwa zikitumika najikuta nafurahia pekeengu ....je wewe mdau uliewahi kupitia haya mafunzo ya jkt..unakumbuka msemo upi...
Maafande wanaamua tu kukuvuruga bila kosa lolote then uki panic utasikia "afande hili limejaa nyembe"[emoji23][emoji23][emoji23]

Suluhisho ni "kunywa maji moyo uelee" upunguze hasira
 
Ngurutu leo jicho nga'ing'ai mpaka kunakucha najua hamuani...
ngurutu mnamwaga teee 😀 😀 😀
ngurutu wa Mungu watu wakuyee...watu wanyeeee😀😀😀
Chapa vumbi mna mapuuza sanaa...
Kwa kuwa mmeharibu kazi tunabadilisha mwendo ngurutu...
ngurutu ni mdudu..

anyway jeshi lilinifundisha mambo mengi ila kubwa hasa ni Uvumilivu hasa wakati wa shuruba maana hakuna kinachodumu kesho itafika maisha yatasonga.. NALIPENDA JESHI ila UHURU naupenda zaidi.
 
Moja kwa moja kwenye mada...kila nikikumbuka baadhi ya kauli zilizokuwa zikitumika najikuta nafurahia pekeengu ....je wewe mdau uliewahi kupitia haya mafunzo ya jkt..unakumbuka msemo upi?

Binafsi nakumbuka ule msemo .,wakti ulishaharibu kazi sasa unaambia na kamanda ufoleni mistari mitatu wakti huo ni wewe mmoja ...sasa utajigawa vipi ili ufoleni mistari mitatu na mtu we ni mmja.

Kwa wadau nadhani wanaelewa hizi vitu

Kwenye gwaride vumbi linatimka unaambiwa "achama mdomo"
Filimbi ya foleni ikipulizwa ukiwahi unapewa adhabu kwa nini umewahi alafu unambiwa nyie ndio kiherehere vitani mnaouliwa au kutekwa[emoji2957]
 
Ngurutu leo jicho nga'ing'ai mpaka kunakucha najua hamuani...
ngurutu mnamwaga teee 😀 😀 😀
ngurutu wa Mungu watu wakuyee...watu wanyeeee😀😀😀
Chapa vumbi mna mapuuza sanaa...
Kwa kuwa mmeharibu kazi tunabadilisha mwendo ngurutu...
ngurutu ni mdudu..

anyway jeshi lilinifundisha mambo mengi ila kubwa hasa ni Uvumilivu hasa wakati wa shuruba maana hakuna kinachodumu kesho itafika maisha yatasonga.. NALIPENDA JESHI ila UHURU naupenda zaidi.

Hiyo mwaga tee kuna sargent mmoja anaitwa kaholao 833kj alikuwa anaipenda sana kusema hivyo[emoji1]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom