fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 538
- 562
Kuruti wa mungu
Kwahiyo ulipigwa tochi mzeeMoja kwa moja kwenye mada...kila nikikumbuka baadhi ya kauli zilizokuwa zikitumika najikuta nafurahia pekeengu ....je wewe mdau uliewahi kupitia haya mafunzo ya jkt..unakumbuka msemo upi?
Binafsi nakumbuka ule msemo .,wakti ulishaharibu kazi sasa unaambia na kamanda ufoleni mistari mitatu wakti huo ni wewe mmoja ...sasa utajigawa vipi ili ufoleni mistari mitatu na mtu we ni mmja.
Kwa wadau nadhani wanaelewa hizi vitu
Kwani hukonako ulikuwa unakula kimasihara
Baba umeliona hili linapanga kutorokaaa...
Mzalendo au kurutu anaenosha uoga anaambiwa utakufa wewe lazima ufee..
Jioni ya leo atakufa mse*ge atakufa shoga kurutii..
Azwea nyingi jeshini...
Wanawambia madem wewe kichei chei usiniangalie ivo nna mke mzuri kulko wewe..
Kama babako anakupenda asingekuleta jeshinj
Jamani mie napenda demu wa kijeda.....nipeni mbinu nawapataje
Hii ni op chakaza nduli au apigwe nduli apigwee mnaitikia apigweee.Hii op gani mkuu[emoji2298]
hapo kunduchi si kambini,wataka mashemeji zangu wajeda watarajiwa wanitese na waniue...nitupie namba zao kama unazoNjoo kunduchi kuna visu utadhani hawajawahi kuwa kruta
Ili Kupima uwezo wako wa Uvumilivu na Hasira? Huko hata Kuambiwa Ubong'oe hilo 'Nyabe' lako ili Ukaguliwe 'Uvunguni' mwako ni Jambo la Kawaida sana tu Mkuu.Kumbe unapanikishwa makusudi...daah!
Kwahiyo 'Bolo' lako lilihifadhiwa kwa 'Trainers' kwa huo muda na kwamba ulipomaliza Kozi yako ( yao ) ndiyo uliifuata au?miezi mitatu sikuwahi kusimamisha mpka nikahisi nishkwishaaa
Kuna nyimbo inaitwa mwanambuzi.... memeYanyukweee. Yakobolewee.mwaga nyukii ziiiiiiiiii na wimbo wa malela malela wangu nakutafuta.nimekumbuka mwaka wangu jkt 1978
Mwanambuzi memee kamulilia mwanawe unaimbwa Mara mbili kila mstari wa beti.natamani nirudi tena nikaongeze uzalendo.maana kwa sasa nchi imekosa wazalendoKuna nyimbo inaitwa mwanambuzi.... meme
Hadi nimewaonea huruma. Poleni sana jeshi si lelemama mkuu.Nyiee hia kauli alikuwa anaipenda afande MATALYA mgambo KJ aiseee.. yani akisema ngurutu leo mmeharibu kazi muandae nguvu siku hiyo kombania inachafukaaa sio kwa lile dosoo.. Kuna siku tulitoka kupiga kwata mazoezi ya pass out sasa ilikuwa mida ya kula kuna platoon hawakurudisha silaha hamala wakaenda kuzikusanya chini ya mti wakila ndo warudishe ila wakaacha watu walinde Yesu wanguu sitaisahau ile siku nyie tulichakaaa unajua kuchakaaa kwanza tulitudi kombania mwendo wa bata waliitana maafande nyie tulipigwaa mpaka kuna captain flani akaingilia kati sitasahau ni siku niliyopanga kesho yake nitorokee.
ZAINA zainaa zainaaa...mtoto wa kabuku zainaaa lete rahaa zainaaa... zainaa zainaaa 😀 😀 😀Naomba lyrics za wimbo wa "Zaina"
Au audio kama mnayo.
Wimbo maarufu hapo Jeshini .
Hii ni op chakaza nduli au apigwe nduli apigwee mnaitikia apigweee.
hapo kunduchi si kambini,wataka mashemeji zangu wajeda watarajiwa wanitese na waniue...nitupie namba zao kama unazo