Kauli za wanawake zinazoboa

Kauli za wanawake zinazoboa

TADPOLE

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
3,128
Reaction score
10,291
Habar za wakati wana JF,

Kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana, bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo;

1.Ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2. Ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunulia simu ya tochi kwani mi mlinzi"

3. Mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4. Kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi, kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"

Wadada hizi sio kauli nzuri acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu.
 
Last edited by a moderator:
habar za wakati wana jf kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana.bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo~
1.ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2.ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunuliasimu ya tochi kwani mi mlinzi"

3.mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4.kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"
wadada hizi sio kauli nzur acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu
Hili jukwaa si lilikua halipo? kwanini limerudi?
 
Mbona wao wanaitwa, mademu, magoma/goma, nyumba ndogo, maharage sijui ya mbeya, mlupo, dada poah mbona wao wanatuvumilia???
nao si watoe malalamiko yao hapa kama kweli hawapendi!
 
nao si watoe malalamiko yao hapa kama kweli hawapendi!
Ndo uvumilie tuu kama sie ukitaka ushindane na ukuta bureeeeee
Btw sikuiz kuna neno "danga" means buzi hilo viipi tulitumie badala ya buzi utakua umeridhika eeee!
 
habar za wakati wana jf kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana.bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo~
1.ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2.ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunuliasimu ya tochi kwani mi mlinzi"

3.mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4.kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"
wadada hizi sio kauli nzur acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu
Wewe umekutana na vimeo.... Wanawake sio wote wako hivyo... Asilimia kubwa sana wana upendo wa dhati wanajali na wana heshima kuliko hata wanaume wengi
 
Hizo kauli hutumiwa na wanawake wa kiswazi sana, yani wale ambao hata shule walikimbia umande,wao hawajishughulishi na chochote in short wapo wapo tu, sasa wewe mpaka uanze mahusiano na watu kama hao wastarabu unakua huwaoni??
 
Dame is a noble title the equivalent of sir. The same way you can call your man' my knight in shining amour' he can call you his dame which is same as knight(sir)
Eti dame inamaana ya "sir"duuu ina maana tunaitwa mwanaume ingali ni mwanamke (where is my dictionary hii lugha iliyokuja na meli duu ni shiiida)
 
Namba mbili sawa kabisa. Kwanini umnunulie simu ya tochi? ....
 
Hizo kauli hutumiwa na wanawake wa kiswazi sana, yani wale ambao hata shule walikimbia umande,wao hawajishughulishi na chochote in short wapo wapo tu, sasa wewe mpaka uanze mahusiano na watu kama hao wastarabu unakua huwaoni??
Love is blind....
 
Hhhha hiyo no 4 mnaona kero kuitwa hivyo na nyie muache kutuita demu (mademu)
demu=DAME

1.
(initial capital letter)
  1. the official title of a female member of the Order of the British Empire, equivalent to that of a knight.
  2. the official title of the wife of a knight or baronet.
2.
(formerly) a form of address to any woman of rank or authority.
3.
a matronly woman of advanced age; matron.
 
hilo ndo kabisa nikisikia naitwa hivyo nampa mtu vitasa hapo hapo
Hahaaa mkuu hapo kwenye red umetisha mbayaaaaa, inaonekana unaasili ya wale jamaa zetu akina 'muraa' kwani nao huwa hawapendi maskhara atii!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom