Kauli za Viongozi kuhusu Kodi

May 6, 2024
10
9


Nimekutana na hizi clip mbili naona msisitizo wa maswala ya kodi. Kweli nimeamini bila kodi nchi haiwezi sogea. Nadhani kuna umuhimu na tra wakaongeza nao elimu kuhamasisha ili tujue taratibu na aina za kodi tunazopaswa lipa.

Nafahamu kuna kitengo cha elimu kwa mlipakodi wito wangu kiongeze kasi hasa wakati huu wa technology kwenye mitandao ya kijamii.
 
Tatizo sio kulipa kodi wala elimu juu ya ulipaji kodi mku....
Tatizo ni:-
Je kodi ninayo lipa inafika kweli hazina..??
Je kodi ninayo lipa wanachi nafaidika nayo kwa hudimia ninazo pata..??
Je kodi ninayo lipa haichepushwi ama kuibiwa..??
Je kodi ninayo lipa inanisaidia kwenye kupunguza mfumuko wa bei..??
Je kodi ninayo lipa wanangu wanajengewa vyoo mashuleni..??
Je kodi ninayo lipa mwananchi anapata huduma za afya stahiki..??
Je kodi ninayo lipa inaenda kujenga barabara na zikaisha..??
Je kodi ninayo lipa sio ile CAG hua anaitaja kwenye ubadhirifu na fedha zenye hati chafu..??
Je kodi ninayo lipa na kadhalika nakadhalika.....
 
Wanashindwa kutengeneza njia nzuri za kupata kodi kupitia misitu,milima,wanyama, usafirishaji, mbuga, utitiri wa maviwanda and the likes ila wanataka wachukue kodi mtu akifanya sherehe au mtu akifungua kiduka chenye mtaji wa laki na nusu.
 
Tatizo sio kulipa kodi wala elimu juu ya ulipaji kodi mku....
Tatizo ni:-
Je kodi ninayo lipa inafika kweli hazina..??
Je kodi ninayo lipa wanachi nafaidika nayo kwa hudimia ninazo pata..??
Je kodi ninayo lipa haichepushwi ama kuibiwa..??
Je kodi ninayo lipa inanisaidia kwenye kupunguza mfumuko wa bei..??
Je kodi ninayo lipa wanangu wanajengewa vyoo mashuleni..??
Je kodi ninayo lipa mwananchi anapata huduma za afya stahiki..??
Je kodi ninayo lipa inaenda kujenga barabara na zikaisha..??
Je kodi ninayo lipa sio ile CAG hua anaitaja kwenye ubadhirifu na fedha zenye hati chafu..??
Je kodi ninayo lipa na kadhalika nakadhalika.....
take a bow
 
View attachment 2997243
View attachment 2997244
Nimekutana na hizi clip mbili naona msisitizo wa maswala ya kodi. Kweli nimeamini bila kodi nchi haiwezi sogea. Nadhani kuna umuhimu na tra wakaongeza nao elimu kuhamasisha ili tujue taratibu na aina za kodi tunazopaswa lipa. Nafahamu kuna kitengo cha elimu kwa mlipakodi wito wangu kiongeze kasi hasa wakati huu wa technology kwenye mitandao ya kijamii.
Sabotage ipo ndani ya TRA wenyewe vijana wameajiriwa wanawaza kuiba tu.
 
Kabla ya kufikilia kuongeza elimu ya kodi na wigo wake kwanza angalia bajeti ya maendeleo iko kiasi gani na bajeti ya matumizi iko kiasi gani. Hapo ndiyo tuhamasishane kulipa kodi kwa bidii.
 
View attachment 2997243
View attachment 2997244
Nimekutana na hizi clip mbili naona msisitizo wa maswala ya kodi. Kweli nimeamini bila kodi nchi haiwezi sogea. Nadhani kuna umuhimu na tra wakaongeza nao elimu kuhamasisha ili tujue taratibu na aina za kodi tunazopaswa lipa.

Nafahamu kuna kitengo cha elimu kwa mlipakodi wito wangu kiongeze kasi hasa wakati huu wa technology kwenye mitandao ya kijamii.

Naona tra nao wamekuja na hii nimeikuta kwenye group moja la wananchi wenzangu
 
Back
Top Bottom