Kauli ya Rais Kikwete juu ya milipuko ya Mabomu Gongo la Mboto

Hakika wapo watanzania ambao uwezo wao ni mdogo hata kufikia kushindwa kutofautisha malengo na sababu za JK kwenda kushuhudia yaliyotokea Gongo la mboto. Kilichotokea gongo la mboto na Mbagala siyo mara ya kwanza kutokea hapa Duniani na imekuwa ikitokea katika nchi zilizoendelea pia kama vile India, Russia, Germany.

JK haendi kugawa fedha anakwenda kuwapa pole waliofikwa na janga pamoja nakujionea hasara iliyosababishwa na mabomu hayo kwa kuwa yeye anawajibika kwa kila Mtanzania ikiwemo wewe mwenye uwezo finyu , Kama akili zako zinakutuma kwamba watendaji wabovu ndiyo wamesababisha janga hili basi nakusihi uende kuanza chekechea kabisa kwa kuwa kwa sasa huna la kuchangia zaidi ya kuishia kulalamika lalamika pasipo kujiuliza na kutafakari mambo.
 
Sasa anaenda Gongo La Mboto kufanya nini?

Kutegua mabomu?
Kufufua waliokufa?
Kuwatibu walioumia?
Kujenga nyumba zilizobomoka?
Kurudisha watoto waliopotea?

Au anaenda Eapoti kwa ajili ya Safari ya ng'ambo?
 
Mie namhurumia sana maana huenda yakalipuka mengine tena sasa hivi huko Gongo la mboto, asije akatufanya tufanye uchaguzi mwingine haraka jamani hebu aondoke huko haraka ohooooooooooooooooo
A%20S%2020.gif
:coffee:
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete sasa hivi anatembelea eneo la kambi ya Jeshi iliyopo Gongo la Mboto ambayo hapo jana kulitokea milipuko ya mabomu katika ghala namba 5 la kuhifadhia silaha.
Nadhani angewawajibisha watendaji wake kabla ya kufika eneo la tukio

Badala ya kwenda kuona waathirika kwanza waliokusanyika katika centers zilizoko karibu na Gongolamboto na uwanja wa Taifa?? Anakimbilia kutembelea kambi ya Jeshi!!!... Hivi????.. What's not happening???? Am I missing something????!!!!
 
kama hawakujifunza kutokana na mbagala ni wazi kwamba wameamua kuwatoa wananchi kafara kama nihivyo basi tuanze na mafisadi wote waliouhujumu uchumi wa nchi ikiwemo DOWANS RICHMONDS; na wngine wanaofanana nahao
Iweje mabomu yame expire na bado yako kambini niwazi kuwa wote waliok kazini hawajui majukumu yao wajiuzulu akiwemo mkuu wao KIKWETE kuonyesha mfano wa watu wasiowajibika
au kama anataka tuandamane kama tunisia?
HUU WOTE NI UFISADI KAMA UFISADI MWINGINE TENA WAFUNGILIWE KESI ZA MAUAJI YA WATU WASIO NA HATIA SAMBAMBA NA UHARIBIFU WA MALI
CCM HAITUFAI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nikikumbuka wale akina mama walivyopata shida na watoto wachanga ndani ya vihema kule mbagala inaniuma sana kuwaza kuwa akina mama wengine wataingia katika taabu kama zile. Inaniuma sana, natamani bomu moja lilobakia la mwisho limripukie mkwere hukohuko.
 
Kwa wale walioko maneo ya Ukonga na gongo la mboto...kuna jamaa yangu nimeongea naye kwenye simu akaniambia nusura msafara wa JK upigwe mawe uko. Baada ya kutoka kwenye ile kambi nasikia wakati anarudi watu waliokuwa barabarani wakashitukia na kuingia katikati ya barabara na wakataka kuanza kurusha mawe. Gari la maaskari lilokuwa mbele ndo limerudi nyuma na kuwafurumusha hao jamaa wenye hasira kali. ....kama mwenye habari atujuze...(ni habari isiyo rasmi lakini jamaa kanihakikishia kwamba alikuwepo kwenye ilo tukio kweli).
 
Wasiwasi wangu kwa Rais wetu akifika huko then bomu moja lililokuwa limesahau kulipuka jana likafanya vitu vyake, si nchi itaingia hasara ya uchaguzi mwingine jamani??? Hebu mshaurini basi aondoke huko haraka arudi zake Ikulu maana mabomu bado hayajaisha huko asituletee msiba mwingine juu ya msiba bureeeeeeee:first::first:
 
Badala ya kwenda kuona waathirika kwanza waliokusanyika katika centers zilizoko karibu na Gongolamboto na uwanja wa Taifa?? Anakimbilia kutembelea kambi ya Jeshi!!!... Hivi????.. What's not happening???? Am I missing something????!!!!

I was asking the same. Nazidi kupata kizunguzungu. OOh Rais wetu!
 
Kuna msafara umepita na inasemekana ni wa JK.

walioko huko watupe ishu.

Ni mchakachuaji eti anaelekea gongo la mboto jeshini. Hajali raia wema waliouawa bali ni hilo jeshi na silaha za mchakachuaji mwenzie Shimbo. huyu ni rais au muuza sura?
 
jamani, Huyu ni Dr ameenda tibu, si Dkt wa afya toka muhimbili? sasa mnawasiwasi gani?
 
Hakika wapo watanzania ambao uwezo wao ni mdogo hata kufikia kushindwa kutofautisha malengo na sababu za JK kwenda kushuhudia yaliyotokea Gongo la mboto. Kilichotokea gongo la mboto na Mbagala siyo mara ya kwanza kutokea hapa Duniani na imekuwa ikitokea katika nchi zilizoendelea pia kama vile India, Russia, Germany.

JK haendi kugawa fedha anakwenda kuwapa pole waliofikwa na janga pamoja nakujionea hasara iliyosababishwa na mabomu hayo kwa kuwa yeye anawajibika kwa kila Mtanzania ikiwemo wewe mwenye uwezo finyu , Kama akili zako zinakutuma kwamba watendaji wabovu ndiyo wamesababisha janga hili basi nakusihi uende kuanza chekechea kabisa kwa kuwa kwa sasa huna la kuchangia zaidi ya kuishia kulalamika lalamika pasipo kujiuliza na kutafakari mambo.
Swali
Je yaliyotokea mwaka 2008 hapo Gongolamboto serikali ilijifunza nini? yaliyotokea mwaka 2009 Mbagala serikali ilijifunza nini? nani mwenye uwezo finyu kati yako wewe na viongozi wako na sisi tunaotaka watu wawajibike? nani anahitaji kwenda chekechea ili aanze kujifunza kati yako na sisi wengine? acha kuleta siasa za kujipendekeza hapa, wengine tumeshachoka.
 
kama hawakujifunza kutokana na mbagala ni wazi kwamba wameamua kuwatoa wananchi kafara kama nihivyo basi tuanze na mafisadi wote waliouhujumu uchumi wa nchi ikiwemo DOWANS RICHMONDS; na wngine wanaofanana nahao
Iweje mabomu yame expire na bado yako kambini niwazi kuwa wote waliok kazini hawajui majukumu yao wajiuzulu akiwemo mkuu wao KIKWETE kuonyesha mfano wa watu wasiowajibika
au kama anataka tuandamane kama tunisia?
HUU WOTE NI UFISADI KAMA UFISADI MWINGINE TENA WAFUNGILIWE KESI ZA MAUAJI YA WATU WASIO NA HATIA SAMBAMBA NA UHARIBIFU WA MALI
CCM HAITUFAI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hapo kwenye red&bold.

nani kakwambia yameeksipaya?
 
Sasa anaenda Gongo La Mboto kufanya nini?

Kutegua mabomu?
Kufufua waliokufa?
Kuwatibu walioumia?
Kujenga nyumba zilizobomoka?
Kurudisha watoto waliopotea?

Au anaenda Eapoti kwa ajili ya Safari ya ng'ambo?

anakwenda kuwaonesha meno yake yalivyo meupe

Channel ten wanasema sasa anaelekea mahospitali
 
Back
Top Bottom