great thinkers
no research, no right to speak.
Tafakari kbala ya kutenda.
Hizi ni fact au chuki binafsi kwa jk
wacheni kumsakama jk bila ya kuwa fact
Its nothing bali UDINI tuu umewajaa. Mungu si wa wanafiki bali wacha mungu.
Kuna msafara umepita na inasemekana ni wa JK.
walioko huko watupe ishu.
Anaenda Amana kuwafariji wahanga
Pole sana mkuu, inamaana mpaka sasa hujawapata?
great thinkers
no research, no right to speak.
Tafakari kbala ya kutenda.
Hizi ni fact au chuki binafsi kwa jk
wacheni kumsakama jk bila ya kuwa fact
Sasa anaenda Gongo La Mboto kufanya nini?
Kutegua mabomu?
Kufufua waliokufa?
Kuwatibu walioumia?
Kujenga nyumba zilizobomoka?
Kurudisha watoto waliopotea?
Au anaenda Eapoti kwa ajili ya Safari ya ng'ambo?
great thinkers
no research, no right to speak.
Tafakari kbala ya kutenda.
Hizi ni fact au chuki binafsi kwa jk
wacheni kumsakama jk bila ya kuwa fact
lame excuse,Hakika wapo watanzania ambao uwezo wao ni mdogo hata kufikia kushindwa kutofautisha malengo na sababu za JK kwenda kushuhudia yaliyotokea Gongo la mboto. Kilichotokea gongo la mboto na Mbagala siyo mara ya kwanza kutokea hapa Duniani na imekuwa ikitokea katika nchi zilizoendelea pia kama vile India, Russia, Germany.
JK haendi kugawa fedha anakwenda kuwapa pole waliofikwa na janga pamoja nakujionea hasara iliyosababishwa na mabomu hayo kwa kuwa yeye anawajibika kwa kila Mtanzania ikiwemo wewe mwenye uwezo finyu , Kama akili zako zinakutuma kwamba watendaji wabovu ndiyo wamesababisha janga hili basi nakusihi uende kuanza chekechea kabisa kwa kuwa kwa sasa huna la kuchangia zaidi ya kuishia kulalamika lalamika pasipo kujiuliza na kutafakari mambo.