johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,945
Kauli ya daktari Mpango imenikumbusha enzi za mfumo wa chama kimoja cha siasa ambapo chama kilishika hatamu.
Wakati ule kiongozi aliweza kuongea neno lolote tena mahali popote bila kujali chochote kwa sababu chama kilimlinda.
Waziri mmoja aliwaambia wabunge " kalalamikeni kuzimu" na baadae waziri huyu akawa PM
Waziri mwingine akawaambia wabunge " kila mtu atabeba msalaba wake" naye akaja kuwa PM
Namshukuru sana Rais Magufuli kwa kuikemea kauli ya Dr Mpango pale pale hadharani, sisi wananchi tuliikataa Kazi na Bata na tumechagua Hapa Kazi Tu.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati ule kiongozi aliweza kuongea neno lolote tena mahali popote bila kujali chochote kwa sababu chama kilimlinda.
Waziri mmoja aliwaambia wabunge " kalalamikeni kuzimu" na baadae waziri huyu akawa PM
Waziri mwingine akawaambia wabunge " kila mtu atabeba msalaba wake" naye akaja kuwa PM
Namshukuru sana Rais Magufuli kwa kuikemea kauli ya Dr Mpango pale pale hadharani, sisi wananchi tuliikataa Kazi na Bata na tumechagua Hapa Kazi Tu.
Maendeleo hayana vyama!