Wadau naomba tujadili hii kauli ya mheshimiwa maana kila ninapoikumbuka huwa sielewi alichota kumaanisha.Naelewa unapotaka kula ila KULIWA ndo kunakonitatiza.Kwa wadau mnaokumbuka alisema lini na wapi mnaweza pia kunisaidia.
Kama mtakumbuka akiwa kwenye mkutano wa kampeni huko mbeya alipokua anawajibu wanaoponda safari zake za nje alisema "Huko nje naenda kuhemea vibaba,kusingekua na hizo safari,watanzani wangekufa njaa"Sasa swali linakuja,Kama huko nje alienda akitaka watanzania Wale,je sisi TUMELIWA NINI?
Nawasilisha.