Kauli ya Chagonja juu ya Nassari

Kauli ya Chagonja juu ya Nassari

huyu dogo akpona na yeye aache papara acheze kwa step kama mbowe,mnyka na zto asiendee kwa papara kwenye siasa ataumia akna lowasa si level zake ni master mndr wa siasa wapo ktambo kwenye game ataumia aache papara itamcost dogo nasari...
 
dogo akopona atulie aache papara ascheze na mastermnder wa siasa ataumia...aige wenzake kna mbowe wanavyosoma upepo
 
Chagonja pimbi sana..mijitu ilikuwa mihausi boi kwa kufua nguo za watoto wa mabosi vizuri wakapelekwa polisi leo wanakuwa viongoZi ndani ya jeshi unategemea nini
 
huyo Chagonja hapa Arusha ni kwao???

kauli hizi za viongozi wa serikali ya CCM zinazotetea umwagaji damu dhidi ya wanachama wa CHADEMA ni moja kati ya sifa ya utawala dhalimu unaokaribia kudondoka.
 
Hapa nilikuwa nasikiliza radio TRIPLE A FM asubuhi Chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kujeruliwa kwa mh. Nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo Nassari alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali langu Lowassa kule ni kwao pia naye si ni mmeru iweje leo watu tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza Mungu tuepushe na hili linalo likumba taifa ila Tanzania ya leo siyo ile ya zamani tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda

Kwani huko ambako siyo kwao ni nje ya Tanzania??
Au POLISI hawajui mipaka ya Tanzania???
Kwahiyo POLISI ndiyo waliyomuumiza. Ili wakiulizwa wanajitetea kuwa alikokuwa si kwake!! Nchi imekwisha!!!
 
Alafu mjinga kama huyu ndiye anaomba vielelezo toka kwa Mbowe. Nashauri tena wasipewe ushirikiano wowote tuone watakuja na jibu lipi ili tuwabomoe.
By the way watanzania tumekuwa wapole sana na hawa jamaa wanacheza na maisha yetu.
Hivi wao hawana wake? Hawana watoto? Je wao wanaishi dunia ipi? Naumia sana kwa kejeli na uhuni wa hawa jamaa!
 
Ingine nimeisikia Sunrise Redio leo asubuhi Kamanda Lebaratusi alipoulizwa je tunasikia mnawashikilia watu watatu kwa tukio la ulipuaji wa mabomu siku ya jumamosi yeye akajibu hana taarifa! na hapo hapo muandishi wa habari akampigia simu Chagonja kwa swali hilo hilo yeye akajibu ni kweli tunawashilikia watu wa tatu! Kwakweli sikupata picha!:shock:


Huyu Sabas bado ni RPC hapa A town?
Mbona kuna dalili ya P. Chagonja kuchukua kofia hiyo?
 
Back
Top Bottom